Wabunge wa TZ kwenye Bunge la EAC watetea kwa nguvu zote Kenya kujenga Uwanja wa Ndege Taveta

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Wabunge wa Tanzania kwenye Jumuia ya Africa Mashariki wametetea kwa nguvu zote kenya Kujenga Uwanja wa Kimataifa wa Ndege jirani na Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro, wanadai hauna shida kabisa na ni mipango ya Serikali ya Kenya,

Source CHANNEL 5(EATV)
 
Wanaongea wakiwa wametumwa na nani?

Wabunge waliowachagua au vyama vyao vilivyowapa nafasi ya kugombea?

Kitu gani kinachowafanya watu hao waitwe wabunge wa Tanzania?
 
"Tatizo lenu nyie wabunge mnafikiri kwa kutumia makalio"- Dr. Didas Masaburi. Kweli mh. Masaburi aliona mbali....
 
Yaani wameanza mapema kutulaghai yaani interval ya kama 100km na uwanja wetu wao wanaona hamna shida?
 
Sema wabunge wa ccm mafisadi, sio wabunge wa Tanzania, anyways, hii imekaaje kwa maslahi ya taifa??? hata hivyo ccm mafisadi hawapo kwa maslahi ya taifa, kikubwa kwao ni 10%. mbunge wa ccm mafisadi akishapata 10%, hana habari ya mengine, hata kama nchi inauzwa, sana sana atarudi kuja kuchukua share yake, sio kuhoji kwa nini nchi imeuzwa!!!!!!!!!!!!!!!!




Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waling'oe madarakani hili li serikali la ccm MAONGO/MAFISADI/MAJAMBAZI/WAUAJI.
 
cha msingi hapa ni sisi kujipanga kuboresha cha kwetu KIA mazingira ndiyo yatakayo sababisha biashara,
 
Kwani wabunge wa Tz wana haki ya kuingilia mipango ya Kenya? Iwapo tutanufaika pamoja nao hao wakenya watakapokuja watalii kwao. Tukumbuke kuwa tuna vivutio vingi zaidi upande wa kwetu kuliko huko Kenya.
 
Kwani wabunge wa Tz wana haki ya kuingilia mipango ya Kenya? Iwapo tutanufaika pamoja nao hao wakenya watakapokuja watalii kwao. Tukumbuke kuwa tuna vivutio vingi zaidi upande wa kwetu kuliko huko Kenya.

Mkuu hawa wakenya wanataka Ku Bloc Kabisa KIA na sio hiyo tu, Ile Barabara ya Serengeti wao ndo wanapambana isijengwe, na kuna kipindi walisha hata wahi kupiga kelele Hoteli za kitalii zi sijengwe nyingi kwenye hifadhi ya Serengeti
 
Mnalia nini na hao vilaza ndio waliochaguliwa na wabunge wa magamba? Did you expect anything substantive from people like Kimbisa and Shy Rose Bhanji?
 
Hawa wakenya kama vile wameturoga

wameanzisha campain online kupiga vita barabara ya serengeti...basi media zote includi JAMIIFORUMS wakaweka petition kuipinga hiyo barabara

tazama hiyo thread sticky inamwambia JK ati azuie ujenzi wa hiyo barabara

Juzi wameanzisha nyingine kuhusu Ngorongoro

na leo hii wabunge wa Tanzania wanawafanyia kazi

huu ushawi sijui umetokea wapi
 
Wabunge wa Tanzania kwenye Jumuia ya Africa Mashariki wametetea kwa nguvu zote kenya Kujenga Uwanja wa Kimataifa wa Ndege jirani na Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro, wanadai hauna shida kabisa na ni mipango ya Serikali ya Kenya,

Source CHANNEL 5(EATV)

Tatizo la nchi yetu , intelejensia ni ya kuzuia maandamano ya CDM tu badala ya kwenda mbali zaidi hadi kwenye intelejensia ya uchumi.Jamani milosoma masoko, je huduma mbili kutolewa jirani na nyingine, haziwezi kuleta ushindani wa kibiashara?kama hapana nitasikitika mwalimu na mtaaluma huyo labda liwe soko hodhi, monopolu au oligopoly, lakini kama ni perfect competative market, ni lazima ushindani utakuwepo;hoja hapa wakenya wanataka kunyang'hanya soko la kia ili waendlee kupata mapato zaidi kwa watalii wanakuja mlima kilimanjaro.hao ndo wabunge waliotokana na kura za rushwa za wabunge wa ccm
 
Wabunge wa Tanzania kwenye Jumuia ya Africa Mashariki wametetea kwa nguvu zote kenya Kujenga Uwanja wa Kimataifa wa Ndege jirani na Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro, wanadai hauna shida kabisa na ni mipango ya Serikali ya Kenya,
L
Source CHANNEL 5(EATV)

Tatizo la kuchagua kishabiki badala ya kuchagua KWA kufuata weledi, watu wapo kimaslahi ZAIDI NA SI KWA ajili ya watanzania NA Tanzania.
 
Katika jumuia ya Africa Mashariki Tanzania niya 2 kwa rushwa na kenya niya 3 so hakuna cha kushangaa hapo it is just a matter of bagaining kabla ya kikao halafu pale ndani mnaenda kukamilisha tu zoezi. Did you people expected wonders than these?
 
Kwani wabunge wa Tz wana haki ya kuingilia mipango ya Kenya? Iwapo tutanufaika pamoja nao hao wakenya watakapokuja watalii kwao. Tukumbuke kuwa tuna vivutio vingi zaidi upande wa kwetu kuliko huko Kenya.

Exactly Kenya wana mipango yao ya uchumi. Na Tanzania tuangalie tufanye nini ili tuwapiku wao waje kuonan kuwa hiyo airport was their mistake si juu yetu. Katika ushindani wa kibiashara huna sababu ya kumzuia mwingine eti biasahra yako haitafanikiwa kwa sababu yake. Huu ni mtazamo hasi watanzania tuingie kazini tuache kulalama.
 
Wabunge wa Afrika Mashariki toka Tanzania hawakuandaliwa kuitetea maslahi ya Tanzania na pia hawana maktaba maalum ya kujikumbusha historia, maamuzi-mikakati yaliyopitishwa na serikali ya Tanzania miaka ya nyuma na pia hata kauli za karibuni toka kwa Balozi wa Kenya nchini Tanzania Mh. Mutiso nanukuu:

Ambassador Mutiso said the new airport was likely to be located only seven kilometres inside Kenya and a short distance from Holili (Tanzania),an important border town along the along the Moshi-Voi-Mombasa highway.

Also to be constructed in the area is an inland port to handle the cargo traffic from the Mombasa port to the hinterland and landlocked countries in the region.

Besides Kenya, the port handles cargo from or destined to northern Tanzania regions, especially Arusha, Kilimanjaro and Manyara regions.

Mutiso said the new airport is aimed at tapping the tourism potential of south east Kenya and north east Tanzania which are endowed with various attractive sites for the visitors.

These include Tsavo West and Amboseli game reserves in Kenya and Mt.Kilimanjaro and newly elevated Mkomazi national park in Tanzania.

"We want to see the Taveta/Holili border region fully integrated for investments and business "he said, adding that his country would upgrade the Mombasa-Taveta railway line to attract more traffic,especially to northern Tanzania.

Other transport infrastructures in the area lined up for upgrading include the Mombasa--Lunga Lunga road to the Tanzanian border and Horohoro-Tanga section in Tanzania.

The diplomat defended the new international airport for his country, saying it would reduce the costs and inconveniences by tourists from abroad who had to change planes several times to reach the famous game sanctuaries in the area.

However, when pressed further on the critical need for the airport in the area that has two international airports at Mombasa and KIA, the Kenyan envoy admitted that the new project could be for Kenya's strategic motives given the fluid situation around Mombasa because of its proximity to war ravaged Somalia and rising piracy in the west Indian Ocean.

Should the project go ahead, it is likely to impact negatively on KIA which had not been used to the optimum due to high landing and fuel charges which Have resulted in less traffic than anticipated when it was constructed 40 years ago. KIA was intended to attract more visitors to Tanzania from abroad especially the tourists heading to the famous national parks in the northern circuit, to land there instead of Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport.

Sources: KIA Faces Tough Future as Kenya Builds Airport at Kili's Doorstep


Je, CCM na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Kamati Maalum ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama chini ya Mh. Edward Lowasa pamojana Waziri wa wizara ya Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta pia walishanena nini juu ya jambo hili ambalo Wabunge wa Afrika Mashariki wanaliltetea, nanukuu:

The Parliamentary Standing Committee for Defence, Security and Foreign Affairs opposes the proposed Taveta airport, arguing that it will pose stiff competition to the Tanzania's second largest airport, KIA. The most powerful house committee under Former Prime Minister, Edward Lowassa, is totally against the airport project and is reported to have instructed the minister for EAC affairs, Samuel Sitta, to refer the matter to the EAC Council of Ministers attention.

'We are against the move by Kenyan authorities and this is not going to stop here, our minister will execute the resolution. We have KIA in Tanzania, and they plan to build yet another airport close to ours? That is sabotage,' Lowassa is on record as saying. Source :Kenyan airport project ignites diplomatic row with Tanzania | TradeMark SA


Swali la nyongeza kwa Kamati Maalum ya Bunge, Ulinzi na Usalama chini ya Mh. Edward Lowasa na Waziri wa Afrika Mashariki , Mh. Samuel Sitta, je mmebariki kauli, maamuzi ya hawa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki toka Tanzania? na kama ni ndiyo ni nini kilichosababisha kubadilika msimamo wa Tanzania ktk jambo hili?
 
Back
Top Bottom