Kazi nzuri!mbona huku Tanga hamji?naona nguvu ya chadema huku kwa wasambaa,wabondei,wazigua,wadigo nk ipo chini sana.jitahidini mfike huku kwan wananchi wenge bdo hawajahamasika na hiki chama cha ukombozi tanzania
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?
Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?
Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!
CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.
mkuuu unaipenda sana magamba wenzio huwa hatuwapi ushauri wa hivi wakafie mbali! kama hawaelewi hawaelewi tuu!Ndege mmoja aliye mkononi ana thamani kuliko mia walio mtini,
Tatizo lenu pro CCM hamuanzishi habari za CCM mnasubiri matukio ya CDM ku-discuss, matokeo yake mnakuwa mnai-promote CDM bila kujua, hamuoni kuwa CDM wamewazidi akili kwa kuwa-keep busy kuongelea chama chao na kusahau chenu, nafikiri propaganda machinery ya CCM ina tatizo somewhere.
well, unaposema watu wenyewe walikuwa 10 tuambie CCM leo wamefanya mkutano wapi hata wa watu 10, kwa sababu toka jana tunasikia ni CDM Igunga, Mpendazoe Morogoro, Slaa Katesh, Lema Singida wapi CCM, think twice!!!!!
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?
Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?
Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!
CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.
We regia, unataka kuniambia kote walipo wabunge wa chadema hakuna matatizo ya maji? nakwamba ni juhudi zenu ndio zimeleta maji? acheni hizo bana. Naomba ije siku muwe chama tawala tuone kama matatizo haya tuliyonayo yataondoka just like that. ukiwa chama pinzani ni rahisi sana kumkosoa mwenzako. talk is cheep talk talk to much. yaondoeni matatizo jimboni kwenu tuone mfano.
Wakati Dr Slaa akishambulia Katesh Kamanda Lema,Chiku Abwao na Mimi mwenyewe tutakuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya stendi ya zamani kuanzia saa 8 mchana. Kabla ya mkutano huu tumebahatika kutembelea na kujionea wenyewe jinsi kina mama na watoto wanavyopata tabu kupata maji.
Tumekutana na msururu wa ndoo, madumu wanawake na watoto wanasubiri maji katika eneo la Mwenge Sekondari.
Miaka 50 tangu Uhuru watu mpaka Leo wanatumia zaidi ya masaa 12 kwa Siku kusubiri maji. Mji wa Singida unahitaji special attention kuhusiana na suala la maji.
Kutoka Bwawa la Singida mjini Singida
Regia Mtema
I hate people who rushes into solutions without analysing the problem at particular environment!
Hili la kuona Bwawa la Singida ni jibu rahisi ya tatizo la maji kwa mji wa Singida ni ishara ya kutafuta na kifikiri majibu marahi bila kuchunguza chanzo cha tatizo kujuwa ugumu wa tatizo.
mkuu Regia jana uliahidi kutuwekea fotos imekuwaje??naomba mtimize mnayoahidi
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?
Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?
Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!
CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.