frank epolity
Member
- Mar 30, 2013
- 19
- 1
Mbowe anafikiri kuongoza upinzani Bungeni ni kutembea kwa landcruiser ya serikali tu!!!
Uongozi wa upinzani umemshinda, sasa hivi wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasiokuwa na mchungaji...
Hamad Rashid aliongoza vizuri upinzani Bungeni...
kwel kuna watu vilaza miaka yote bado kichwa tupu 'unaibiwa bado unaacha beg waz' foolsh