Wabunge wa CCM waliowakaanga Mawaziri kwa kutegemea kuvaa viatu vyao waambulia Patupu

Hawa ni
  1. Dr Hamisi Kigwangala
  2. Kangi Lugola
  3. Deo Filikunjombe
  4. Luhaga Mpina
  5. Mark Mwandosya
  6. Lembeli

Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo

huu ni uelewa finyu wa masuala ya kisiasa na ni fikira hasi kwa maendeleo ya nchi na ccm kwa ujumla.hao ulio wataja waliamua kwa dhati kupigania maslahi ya nchi na si mara ya kwanza kufanya hivyo kwani wamekuwa mstari wa mbele kusimamia maslahi ya nchi bungeni hata kama hoja katoa mbunge wa upinzani.Hapa tatizo kuna wana CCM wenzangu wenye mawazo potofu kama ww kwamba hoja ikitolewa na mbunge wa CDM,CUF au NCCR wasiunge mkono coz wana wanawapa umaarufu au wanakicost chama. hizi ni fikra duni na ni siasa za kizamani sana zinazo rudisha nyuma demokrasia. kwa faida yako lizabon rejea misimamo ya wabunge kama Tuntemeke sanga,emanuel mwambulukutu, njeru kasaka, Thabita siwale na wengine wengi. tazama walivyo kuwa na misimamo kwenye masuala ya kitaifa. acha siasa nyepesi kaka
 
huu ni uelewa finyu wa masuala ya kisiasa na ni fikira hasi kwa maendeleo ya nchi na ccm kwa ujumla.hao ulio wataja waliamua kwa dhati kupigania maslahi ya nchi na si mara ya kwanza kufanya hivyo kwani wamekuwa mstari wa mbele kusimamia maslahi ya nchi bungeni hata kama hoja katoa mbunge wa upinzani.Hapa tatizo kuna wana CCM wenzangu wenye mawazo potofu kama ww kwamba hoja ikitolewa na mbunge wa CDM,CUF au NCCR wasiunge mkono coz wana wanawapa umaarufu au wanakicost chama. hizi ni fikra duni na ni siasa za kizamani sana zinazo rudisha nyuma demokrasia. kwa faida yako lizabon rejea misimamo ya wabunge kama Tuntemeke sanga,emanuel mwambulukutu, njeru kasaka, Thabita siwale na wengine wengi. tazama walivyo kuwa na misimamo kwenye masuala ya kitaifa. acha siasa nyepesi kaka

Mkuu, kwA hakika kuna mengi kwenye sakata la escrow. Waliokuwa na misimamo imara tumeona. Ila mavuvuzela yaliyotegemea kupata uwaziri tumeyaona pia
 
Hawa ni
  1. Dr Hamisi Kigwangala
  2. Kangi Lugola
  3. Deo Filikunjombe
  4. Luhaga Mpina
  5. Mark Mwandosya
  6. Lembeli

Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
Hawa sasa wakakula Mapesa ya mengi, ni aina ya wabunge wapigaji kupitia migongo kama hii ya escrow na skendo zingine
 
Hawa sasa wakakula Mapesa ya mengi, ni aina ya wabunge wapigaji kupitia migongo kama hii ya escrow na skendo zingine

Reginald Mengi amepiga patupu. George Simbachawene ni kichwa maji. Udalali hauruhusiwi chini ya utawala wake
 
Opportunist utawajua kwa maneno yao,

kwa mawazo kama haya inawezekana yanayosemwa ni kweli kuwa kuna members humu wanalipwa kwa idadi ya post wanazo post.
 
huu ni uelewa finyu wa masuala ya kisiasa na ni fikira hasi kwa maendeleo ya nchi na ccm kwa ujumla.hao ulio wataja waliamua kwa dhati kupigania maslahi ya nchi na si mara ya kwanza kufanya hivyo kwani wamekuwa mstari wa mbele kusimamia maslahi ya nchi bungeni hata kama hoja katoa mbunge wa upinzani.Hapa tatizo kuna wana CCM wenzangu wenye mawazo potofu kama ww kwamba hoja ikitolewa na mbunge wa CDM,CUF au NCCR wasiunge mkono coz wana wanawapa umaarufu au wanakicost chama. hizi ni fikra duni na ni siasa za kizamani sana zinazo rudisha nyuma demokrasia. kwa faida yako lizabon rejea misimamo ya wabunge kama Tuntemeke sanga,emanuel mwambulukutu, njeru kasaka, Thabita siwale na wengine wengi. tazama walivyo kuwa na misimamo kwenye masuala ya kitaifa. acha siasa nyepesi kaka
Hawakuamua kwa dhati kupigania masilahi ya Nchi walikuwa wanajali matumbo yao. Pesa za Mengi ziliwalewesha walikuwa hawana Uchungu na chochote zaidi ya kumfurahisha Mengi tu.
 
Hawa ni
  1. Dr Hamisi Kigwangala
  2. Kangi Lugola
  3. Deo Filikunjombe
  4. Luhaga Mpina
  5. Mark Mwandosya
  6. Lembeli

Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo

Kuwa mzalendo walivyoweka wazi inamaana ni kuwakaanga wenzao?
 
mkuu mmeanza kupinga wenyewe kwa wenyewe lumumba leo hamjaamka vizuri au ndo kuchanganyikiwa

Mkuu, ni mambo ya kawaida kwenye mijadala hii. Naamini kwamba atakuwa ameteleza tu
 
Hawa ni
  1. Dr Hamisi Kigwangala
  2. Kangi Lugola
  3. Deo Filikunjombe
  4. Luhaga Mpina
  5. Mark Mwandosya
  6. Lembeli

Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
Embu kuwa mzalendo hata kwa dakika tano.hivi wewe mpaka watu wamepwlwkwa mahakamani na nchi imekoss misaada bado huamini kama kulikua na ubadhirifi katika Escrow.?
 
Hawa ni
  1. Dr Hamisi Kigwangala
  2. Kangi Lugola
  3. Deo Filikunjombe
  4. Luhaga Mpina
  5. Mark Mwandosya
  6. Lembeli

Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo

Hivi kilichokuwa kinatetewa pale ni maslahi mapana ya nchi au uwaziri? Basi makubwa. Maana hata hao waloteuliwa ni kwa ajili yakulinda maslahi ya watu flan flan, ndani ya chama cha majambazi ukiwa mkweli lazima utengwe
 
Hawa ni
  1. Dr Hamisi Kigwangala
  2. Kangi Lugola
  3. Deo Filikunjombe
  4. Luhaga Mpina
  5. Mark Mwandosya
  6. Lembeli

Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo

N wewe unayetetea uovu umepewa nafasi gani? Na uhakika ni sifa mojawapo ya angalau kuwa na ka nafasi CCM!
 
Waliopewa uwaziri wapo ndani ya hayo maneno matatu
 

Attachments

  • 1422163433798.jpg
    1422163433798.jpg
    51.1 KB · Views: 217
Back
Top Bottom