mkuu mmeanza kupinga wenyewe kwa wenyewe lumumba leo hamjaamka vizuri au ndo kuchanganyikiwaAcha uchonganishi, halafu hauna kumbukumbu, Mwandosya ni Waziri
mkuu mmeanza kupinga wenyewe kwa wenyewe lumumba leo hamjaamka vizuri au ndo kuchanganyikiwaAcha uchonganishi, halafu hauna kumbukumbu, Mwandosya ni Waziri
Hawa ni
- Dr Hamisi Kigwangala
- Kangi Lugola
- Deo Filikunjombe
- Luhaga Mpina
- Mark Mwandosya
- Lembeli
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
mkuu mmeanza kupinga wenyewe kwa wenyewe lumumba leo hamjaamka vizuri au ndo kuchanganyikiwa
huu ni uelewa finyu wa masuala ya kisiasa na ni fikira hasi kwa maendeleo ya nchi na ccm kwa ujumla.hao ulio wataja waliamua kwa dhati kupigania maslahi ya nchi na si mara ya kwanza kufanya hivyo kwani wamekuwa mstari wa mbele kusimamia maslahi ya nchi bungeni hata kama hoja katoa mbunge wa upinzani.Hapa tatizo kuna wana CCM wenzangu wenye mawazo potofu kama ww kwamba hoja ikitolewa na mbunge wa CDM,CUF au NCCR wasiunge mkono coz wana wanawapa umaarufu au wanakicost chama. hizi ni fikra duni na ni siasa za kizamani sana zinazo rudisha nyuma demokrasia. kwa faida yako lizabon rejea misimamo ya wabunge kama Tuntemeke sanga,emanuel mwambulukutu, njeru kasaka, Thabita siwale na wengine wengi. tazama walivyo kuwa na misimamo kwenye masuala ya kitaifa. acha siasa nyepesi kaka
Hawa sasa wakakula Mapesa ya mengi, ni aina ya wabunge wapigaji kupitia migongo kama hii ya escrow na skendo zingineHawa ni
- Dr Hamisi Kigwangala
- Kangi Lugola
- Deo Filikunjombe
- Luhaga Mpina
- Mark Mwandosya
- Lembeli
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
Hawakuamua kwa dhati kupigania masilahi ya Nchi walikuwa wanajali matumbo yao. Pesa za Mengi ziliwalewesha walikuwa hawana Uchungu na chochote zaidi ya kumfurahisha Mengi tu.huu ni uelewa finyu wa masuala ya kisiasa na ni fikira hasi kwa maendeleo ya nchi na ccm kwa ujumla.hao ulio wataja waliamua kwa dhati kupigania maslahi ya nchi na si mara ya kwanza kufanya hivyo kwani wamekuwa mstari wa mbele kusimamia maslahi ya nchi bungeni hata kama hoja katoa mbunge wa upinzani.Hapa tatizo kuna wana CCM wenzangu wenye mawazo potofu kama ww kwamba hoja ikitolewa na mbunge wa CDM,CUF au NCCR wasiunge mkono coz wana wanawapa umaarufu au wanakicost chama. hizi ni fikra duni na ni siasa za kizamani sana zinazo rudisha nyuma demokrasia. kwa faida yako lizabon rejea misimamo ya wabunge kama Tuntemeke sanga,emanuel mwambulukutu, njeru kasaka, Thabita siwale na wengine wengi. tazama walivyo kuwa na misimamo kwenye masuala ya kitaifa. acha siasa nyepesi kaka
Hawa ni
- Dr Hamisi Kigwangala
- Kangi Lugola
- Deo Filikunjombe
- Luhaga Mpina
- Mark Mwandosya
- Lembeli
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
Embu kuwa mzalendo hata kwa dakika tano.hivi wewe mpaka watu wamepwlwkwa mahakamani na nchi imekoss misaada bado huamini kama kulikua na ubadhirifi katika Escrow.?Hawa ni
- Dr Hamisi Kigwangala
- Kangi Lugola
- Deo Filikunjombe
- Luhaga Mpina
- Mark Mwandosya
- Lembeli
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
Wewe utakuwa mmoja waoOpportunist utawajua kwa maneno yao,
kwa mawazo kama haya inawezekana yanayosemwa ni kweli kuwa kuna members humu wanalipwa kwa idadi ya post wanazo post.
Hawa ni
- Dr Hamisi Kigwangala
- Kangi Lugola
- Deo Filikunjombe
- Luhaga Mpina
- Mark Mwandosya
- Lembeli
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
Hawa ni
- Dr Hamisi Kigwangala
- Kangi Lugola
- Deo Filikunjombe
- Luhaga Mpina
- Mark Mwandosya
- Lembeli
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja bunge na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo