Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Hawa ni
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja Baraza la Mawaziri na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo
- Dr Hamisi Kigwangala
- Kangi Lugola
- Deo Filikunjombe
- Luhaga Mpina
- Mark Mwandosya
- Lembeli
Wabunge hawa walishirikiana na wabunge wa upinzani kuwakaanga mawaziri kwa mategemeo kuwa Rais atalivunja Baraza la Mawaziri na wao wataambulia nafasi. Hakika sakata la ESCROW limewachanganya wengi na nampongeza Rais kwa kuliona hilo