MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,415
- 4,881
Mkuu ni kweli lakini tumekuwa masikini wa akili hadi foreign mentality ya Hima imeshika madaraka.huyu raisi ni waajabu sana sasa kama wewe ni chadema na mkeo ni ccm unambagua haya mambo ni yale ya warundi na wanyarwanda
hopeless kabisa
R.I.P Mtikila