Jaxx
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 129
- 28
Tangazo la speaker wa Bunge limetia fola baada ya bunge kulindima kwa vicheko juu ya wabunge wote kuonana hali kukiwa na kila dalili kuwa budget ya Wizara ya Nishati na Madini haitapita. Hali hiyo inaashiria kuwa wabunge wanataka kuwekwa sawa (Kusetiwa) ili wakati wa kupitisha budget wawe ''RUBBER STAMP'' ya ''SIRIKALI''.
My intake; Wabunge wa CCM msikubali kubeba haibu hii!!
My intake; Wabunge wa CCM msikubali kubeba haibu hii!!