Huyu si yule yule au kajivua gamba?Nafuatilia bunge hapa kuna mbunge katoka kutoa hoja kabla ya mheshimiwa Hamad Rashid yaani kaongea tu mashairi ya taarabu na vilaza wenzie wa CCM walikua wakimpigia makofi. Sasa kaingia mheshimiwa Hamad Rashid anashuka point za maana with evidence hakuna makofi kutoka CCM.
Walahi nawaambia watanzania tunaona sidhani kama mtarudi 2015
acha njaa,hao wabunge ccm wanafanya nn bungen zaid ya upuuz,tenda jema harafu uone kama pana lawama.Mods ifuteni hii kwa kuwa inaleta uchochezi dhidi ya Wabunge wa CCM na wapiga kura wao.
Mods ifuteni hii kwa kuwa inaleta uchochezi dhidi ya Wabunge wa CCM na wapiga kura wao.