Wabunge wa CCM acheni kutudanganya

Wabunge wa CCM acheni kutudanganya

Nashangaa sana wananchi wengine kutolifahamu hilo hasa wana ccm
Majimbo au kata zote yaliyobaguliwa kimaendeleo sababu eti walichagua wapinzani ni wakati wenu Sasa nanyi wabagueni wanyimeni kura hao wabunge wakachukue hizo kura kwenye majimbo au kata walizoziletea maendeleo tuone Kama zitawatosha kurudi tena bungeni.Aliyekubagueni kipindi cha raha nanyi wabagueni wanyimeni kura zenu kipindi hiki wanachoona umuhimu wenu.
Wengine ndo ujifanya kuwa karibu na wapiga kura Hadi wanaparua barabara Hadi za uchochoroni hali walikutelekezi miaka 5
 
Mwingine kageuka mtu wa 'wanyonge' huku Mbinga Mjini anasikiliza "kero" za na "kujumuika" nao wakati 2015 alitamka kwa jeuri kabisa kuwa yeye kachaguliwa na pesa zake.
FB_IMG_1595137505052.jpg
 
vyama vya upinzani vina kazi kubwa kuwaamsha raia kukataa utapeli huu
 
Huo ndiyo muarobaini wao
Majimbo au kata zote yaliyobaguliwa kimaendeleo sababu eti walichagua wapinzani ni wakati wenu Sasa nanyi wabagueni wanyimeni kura hao wabunge wakachukue hizo kura kwenye majimbo au kata walizoziletea maendeleo tuone Kama zitawatosha kurudi tena bungeni.Aliyekubagueni kipindi cha raha nanyi wabagueni wanyimeni kura zenu kipindi hiki wanachoona umuhimu wenu.
Wengine ndo ujifanya kuwa karibu na wapiga kura Hadi wanaparua barabara Hadi za uchochoroni hali walikutelekezi miaka 5
 
Kwa taarifa ni kuwa hadi juzi na watia nia 35
 
1) serekali ikisema makao makuu ya nchi yahamie kijijini kwa rais bila kujali athari kiuchumi kwa nchi na wananchi, hili litakelezwa haraka kutokana na wingi wa wabunge wa chama cha rais
wazee wa ndioooooooooooooooooooooooooo! tuyonge watanzania wote; ndioooooooooooooooooo.
 
Back
Top Bottom