Wabunge wa CCM acheni kutudanganya

Wabunge wa CCM acheni kutudanganya

Pole sana mkuu kumbe ulishakutana na figisu za Bashungwa!

Naona hata hapo alipo utakuwa unapafahamu!
Napafahamu mkuu...kuanzia kata ya Ihembe , chonyonyo, Ihanda, kayanga, chaanika , kanoni , igurwa kiruruma, nyakabanga na nyaishozi..nimezunguka karibia kata zote 23...karagwe chadema iko imara sana bila kusahau kyerwa nayo iko vzr mnoo...kupitia chadema nimeifahamu kiasi nchi yng Tz
 
Napafahamu mkuu...kuanzia kata ya Ihembe , chonyonyo, Ihanda, kayanga, chaanika , kanoni , igurwa kiruruma, nyakabanga na nyaishozi..nimezunguka karibia kata zote 23...karagwe chadema iko imara sana bila kusahau kyerwa nayo iko vzr mnoo...kupitia chadema nimeifahamu kiasi nchi yng Tz
Hongera sana kamanda mkomavu na mzoefu
 
Hongera sana kamanda mkomavu na mzoefu
Asante sana mkuu..huwa nikiona makamanda wanakisnichi chama najisikia uchungu sana mkuu..maana tumeumia sana kukijenga chama..lkn naamini historia itatukumbuka
 
Mbunge wa Jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa Innocent Bash akipata kifungua kinywa na wananchi wa Kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabionza, Karagwe mkoani Kagera.

Mbunge yupo jimboni kwake kwa sasa na alifika katika mgahawa huo ili kupata kifungua kinywa na wananchi wa jimbo lake.

Huu ni usanii na udanganyifu wa kiwango cha lami, alichaguliwa mwaka 2015 hajawahi hata kushiriki mazishi ya watu wa kijijini kwake au jimboni kwake, kila siku yupo DSM.

Leo hii uchaguzi anajifanya kula pamoja na wapiga kura wake.

View attachment 1510320
Wanachi wa huko na kwingineko ni wakati wa kuwapa hawa omba omba wa kura kibarua wafanye kabla ya kuwapa kura.
 
Utapeli kama anaofanya Tulia Mbeya

Sioni mbunge wa CCM mwenye tija katika taifa letu wengi ubebwa na mfumo na ndio maana uwa wanakuwa wabunge wa ndio.
Kurubuni Mtanzania ni rahisi kuliko kumrubuni mbwa wa Kenya.
Mwaka 2015 Lowasa alifanya maigizo ya kupanda daladala yaani utafikiri mtu ambaye hajawahi kuishi Tanzania.
Watu wanazeeka na unafki wao.
 
Wengi wao kwa sasa wamepata mwamko kupitia upinzani kuwa zile zama za kudanganywa kwa kupewa khanga na T-shirt na kofia zimepitwa na wakati.
Wanachi wa huko na kwingineko ni wakati wa kuwapa hawa omba omba wa kura kibarua wafanye kabla ya kuwapa kura.
 
Ccm ndiyo kichaka cha kila aina ya usanii kisiasa
Kurubuni Mtanzania ni rahisi kuliko kumrubuni mbwa wa Kenya.
Mwaka 2015 Lowasa alifanya maigizo ya kupanda daladala yaani utafikiri mtu ambaye hajawahi kuishi Tanzania.
Watu wanazeeka na unafki wao.
 
Alafu hao anaokula nao msosi hapo wanajiona wenye bahati kubwa sana kwa kuwa na mbunge anaye wapenda na kuwajali
Ujinga wetu Wapiga kura ndio mtaji wa Chama Chakavu.
 
Mbunge wa Jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa Innocent Bash akipata kifungua kinywa na wananchi wa Kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabionza, Karagwe mkoani Kagera.

Mbunge yupo jimboni kwake kwa sasa na alifika katika mgahawa huo ili kupata kifungua kinywa na wananchi wa jimbo lake.

Huu ni usanii na udanganyifu wa kiwango cha lami, alichaguliwa mwaka 2015 hajawahi hata kushiriki mazishi ya watu wa kijijini kwake au jimboni kwake, kila siku yupo DSM.

Leo hii uchaguzi anajifanya kula pamoja na wapiga kura wake.

View attachment 1510320
Mkuu tumewazoea hao kwa drama zao. Lakini viazi zaidi ni hao wanaohadaiwa na kuhadaika.
IMG-20200707-WA0011.jpg
IMG_20200701_203646.jpg
 
Back
Top Bottom