Wabunge wa CCM acheni kutudanganya

Wabunge wa CCM acheni kutudanganya

Moja ya message muhimu kwenye kampeni za wapinzani kwa wapiga kura iwe ni kuwakumbusha kuwa wingi wa wabunge wa upinzani bungeni ndiyo kutapelekea ustawi wao kiuchumi, kiusalama, kijamii, kiimani, nk.

CCM ikichukua urais halafu pia ikawa na wabunge wengi maana yake maamuzi yao bungeni yatakuwa ni kuiunga mkono tu serekali hata katika mambo ambayo yana madhara kwa wananchi. itakuwa kama enzi hizo za Mobutu wa Zaire.

1) serekali ikisema makao makuu ya nchi yahamie kijijini kwa rais bila kujali athari kiuchumi kwa nchi na wananchi, hili litakelezwa haraka kutokana na wingi wa wabunge wa chama cha rais

2) wabunge wakiamua kujipandishia mishahara huku waalimu & madaktari wakisahaulika, rais ambaye ni mwanachama mwenzao atakubali ili naye waendelee kumkubalia mambo yake

3) chama kimoja kikishika hatamu kuna hatari ya wasio wanachama kunyang'anywa hata wake zao bila huruma (Gaddafi, Saddam ni baadhi ya mifano)

4) rais kujitangaza kuwa "rais wa maisha" ni rahisi sana chini ya chama kimoja kushika hatamu

5) chini ya chama kimoja kushika hatamu watu wanaweza kupotezwa na watu (wakiwamo ndugu) wasiruhusiwe kuuliza whereabouts zao

6) nk nk nk
 
Hakika Hawa wanawajali wanyonge ni Upendo wa Hali ya juu kula na wanyonge hasa kipindi hiki
 

Attachments

  • Screenshot_20200718_192520.jpg
    Screenshot_20200718_192520.jpg
    56 KB · Views: 9
Bona kalua wa segerea alidanganywa kutopeleka maendeleo kata za wapinzani akuzichanganya za kuambiwa,akawabagua mitaa ya wapinzani Hadi kuwaambia si mlichagua madiwani wapinzani,leo anakwangua mabarara Hadi uchochoroni sababu ya kampeni, mitaa Ile Ile aliyoibagua ya wapinzani,hio mitaa nao wamesema ulitubagua 5 yrs nasi tunakubagua kipindi hiki.Anaweza akashinda kata alizowaletea maendeleo akaangushwa na kata alizozibagua.Hivo hivo kwa mzee meko.Funzo unapowatendea maendeleo watu bila kuwabagua kisa tu walichagua upinzani nao watakubagua utakapotaka kura zao.Rafiki wa kweli kwenye dhiki
 
Moja ya message muhimu kwenye kampeni za wapinzani kwa wapiga kura iwe ni kuwakumbusha kuwa wingi wa wabunge wa upinzani bungeni ndiyo kutapelekea ustawi wao kiuchumi, kiusalama, kijamii, kiimani, nk.

CCM ikichukua urais halafu pia ikawa na wabunge wengi maana yake maamuzi yao bungeni yatakuwa ni kuiunga mkono tu serekali hata katika mambo ambayo yana madhara kwa wananchi. itakuwa kama enzi hizo za Mobutu wa Zaire.

1) serekali ikisema makao makuu ya nchi yahamie kijijini kwa rais bila kujali athari kiuchumi kwa nchi na wananchi, hili litakelezwa haraka kutokana na wingi wa wabunge wa chama cha rais

2) wabunge wakiamua kujipandishia mishahara huku waalimu & madaktari wakisahaulika, rais ambaye ni mwanachama mwenzao atakubali ili naye waendelee kumkubalia mambo yake

3) chama kimoja kikishika hatamu kuna hatari ya wasio wanachama kunyang'anywa hata wake zao bila huruma (Gaddafi, Saddam ni baadhi ya mifano)

4) rais kujitangaza kuwa "rais wa maisha" ni rahisi sana chini ya chama kimoja kushika hatamu

5) chini ya chama kimoja kushika hatamu watu wanaweza kupotezwa na watu (wakiwamo ndugu) wasiruhusiwe kuuliza whereabouts zao

6) nk nk nk
Nusura yetu kama watanzania ni kuhakikisha kuwa angalau wapinzani wanapata wabunge wa kuwatetea, bila hivyo haya mateso yatazidi kuongezeka maradufu
 
Bona kalua wa segerea alidanganywa kutopeleka maendeleo kata za wapinzani akuzichanganya za kuambiwa,akawabagua mitaa ya wapinzani Hadi kuwaambia si mlichagua madiwani wapinzani,leo anakwangua mabarara Hadi uchochoroni sababu ya kampeni, mitaa Ile Ile aliyoibagua ya wapinzani,hio mitaa nao wamesema ulitubagua 5 yrs nasi tunakubagua kipindi hiki.Anaweza akashinda kata alizowaletea maendeleo akaangushwa na kata alizozibagua.Hivo hivo kwa mzee meko.Funzo unapowatendea maendeleo watu bila kuwabagua kisa tu walichagua upinzani nao watakubagua utakapotaka kura zao.Rafiki wa kweli kwenye dhiki
Dawa yao ni kupiga chini tu kila mahala
 
Bona kalua wa segerea alidanganywa kutopeleka maendeleo kata za wapinzani akuzichanganya za kuambiwa,akawabagua mitaa ya wapinzani Hadi kuwaambia si mlichagua madiwani wapinzani,leo anakwangua mabarara Hadi uchochoroni sababu ya kampeni, mitaa Ile Ile aliyoibagua ya wapinzani,hio mitaa nao wamesema ulitubagua 5 yrs nasi tunakubagua kipindi hiki.Anaweza akashinda kata alizowaletea maendeleo akaangushwa na kata alizozibagua.Hivo hivo kwa mzee meko.Funzo unapowatendea maendeleo watu bila kuwabagua kisa tu walichagua upinzani nao watakubagua utakapotaka kura zao.Rafiki wa kweli kwenye dhiki
Bona hakuwa na diwani wa CCM hata mmoja . Huijui segerea wewe
 
Kumbe ni kweli inavyosemekana kuwa mtaji wa ccm ni ujinga wa watanzania, ama ujinga wa watanzania ndio mtaji wa ccm, hii kama si kuwafanya watu wajinga ni nini sasa?
Bila watu kama hao leo hii ccm usinge kuwepo Tanzania
 
Back
Top Bottom