Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
duh nmejuta kusoma hii thread haina kchwa wala miguu
uko sawa kabisa, mkuu
Mkuu unajua hiyo Tsh 600 (per capital income) inapatikanaje ama unaleta sihasa hapa, hivi unajua kwamba hata hiyo 600 wengi hawawezi kuipata kwa siku na imepatakana tu kwa sababu ya wastani maanake hata hela za AZAM tumegawana tukapata hiyo. hivi unajua hata hao graduate waliojaa hapo jijini dar wakitafuta kazi hawana uwezo wa kuzalisha value ya 650 Tsh lakini tume assume tu.
Unaisemea tanzania ipi ambayo unasema haitoshi kusema watu wana maisha magumu, huamini, hujaona ama ni Lumumba ndo inakufanya uwe hivo
duh nmejuta kusoma hii thread haina kchwa wala miguu
Atubela, wewe mwenyewe haurudi humu baada ya 2015
Watu kuishi kwa Tshs. 600 kwa siku sio kigezo toshelezi kusema kuwa wana maisha magumu, hii ni kwa sababu wananchi wengi wa kijijini hawatumii fedha kwa kiasi kikubwa katika mahitaji yao, mfano mdogo tu, mtu anaelima bustani yake na akaweka mihogo na ikikomaa anachemsha maisha yanaenda, hawa ndio wamejaa huko mikoani, awahitaji fedha kwa kiasi kikubwa ili kuendesha maisha. Hemu elewa hili mkuu na wote wenye fikra kama zako.
wewe ndo umesema kweli, kinyume chake ni kweli. Hao wabunge hawang'oki.and the viceversa is true!
Sikiliza mkuu, huu utaratibu wa per capital income sio mzuri kujua kuwa maisha ya mtu mmoja mmoja ni mazuri au magumu, una changamoto nyingi sana huu utaratibu. Maelezo yangu yanajitosheleza na ndio uhalisia wa maisha ya watanzania wengi, wala sio U-lumumba.
Huyu yupo katika listi ya waliopewa ubunge kwa huruma tu, kama akina Mrema, Cheyo, MbatiaMkuu mimi naona ungekamilisha list kama ungemaliza na Mhe. Mbowe, huyu jamaa wananchi wa Hai walikuwa hawajui kama kala sifuri kidato cha sita (6), sasa wamejua na wamechachamaa kwelikweli, wamesema hata awape Bilicans bungeni awamrudishi.
Hata kama ni kutaka kupima mawazo ya watu, yapasa mtu ukatumia akili badala ya kufanya kitu ambacho hata wewe mwenyewe huna unajua kuwa hakiwezekani. Hayo majina uliyoyataja basis yake ni nini?
tunashukuru, najua umepata buku 7 ya kula mchana, basi nenda kapumzike, maana ayo mawazo yako hayana uchambuzi wowote, wala vigezo, umeandika tu. ila najua hao ndio wanaowanyima usingizi ccm. na bado poleni sana.
Sio mbaya kupima upepo kwa vinyweleo japo sikushauri kuzoea tabia hyo
Uzi umejaa chuki binafsi kuliko vigezo na sababu za msingi!
Mkuu unaifahamu vizuri shughuli ya kilimo au waropoka tu? Kilimo sio kazi rahisi kama unavyofikiria!Watu kuishi kwa Tshs. 600 kwa siku sio kigezo toshelezi kusema kuwa wana maisha magumu, hii ni kwa sababu wananchi wengi wa kijijini hawatumii fedha kwa kiasi kikubwa katika mahitaji yao, mfano mdogo tu, mtu anaelima bustani yake na akaweka mihogo na ikikomaa anachemsha maisha yanaenda, hawa ndio wamejaa huko mikoani, awahitaji fedha kwa
kiasi kikubwa ili kuendesha maisha. Hemu elewa hili mkuu na wote wenye fikra kama zako.