BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,512
- 482
Huyu mtoa mada atakuwa ametoboa seng'enge za MILEMBE. halafu hawa watu wa milembe mbona siku hizi wanaongezeka sana mitaani? Kuna nini huko milembe mpaka watu wenu wanawakimbia??
2010 nani alimbwaga mwenzio? au hilo nalo ulioni? huyo dialo yeye ndo pekee au hizo pesa zake wewe ndo zinakuzuzua?Hivi Kiwia ana ubavu wa kupambana na Diallo Ilemela au tunabwabwaja bila ya kujua
Mkuu inaonekana hujielewi waongea vitu gani? Kwani Kiwia kalichukua jimbo la Ilemela kutoka mikononi mwa nani?Hivi Kiwia ana ubavu wa kupambana na Diallo Ilemela au tunabwabwaja bila ya kujua
Anna Makinda.
Job Ndungai
Lusinde
January
Wassira
Nchemba na wengineo wengi umesahau maana 2015 CCM ndo itakuwa chama cha upinzani
Watu kuishi kwa Tshs. 600 kwa siku sio kigezo toshelezi kusema kuwa wana maisha magumu, hii ni kwa sababu wananchi wengi wa kijijini hawatumii fedha kwa kiasi kikubwa katika mahitaji yao, mfano mdogo tu, mtu anaelima bustani yake na akaweka mihogo na ikikomaa anachemsha maisha yanaenda, hawa ndio wamejaa huko mikoani, awahitaji fedha kwa kiasi kikubwa ili kuendesha maisha. Hemu elewa hili mkuu na wote wenye fikra kama zako.
Hivi Kiwia ana ubavu wa kupambana na Diallo Ilemela au tunabwabwaja bila ya kujua ushindi wake ulitokana na nn?
Tuwekee vigezo ulivyotumia ambavyo vimepelekea wewe kufikia hitimisho lako...
Mkuu mimi naona ungekamilisha list kama ungemaliza na Mhe. Mbowe, huyu jamaa wananchi wa Hai walikuwa hawajui kama kala sifuri kidato cha sita (6), sasa wamejua na wamechachamaa kwelikweli, wamesema hata awape Bilicans bungeni awamrudishi.