Ndugu Zangu,
SASA ni dhahiri shahiri kuwa CHADEMA inapoteza mwelekeo. Hili si jambo jema kwa demokrasia yetu changa tunayotaka kuijenga.
Nimesoma kwa makini magazetini habari kuhusu sakata la wabunge wa CHADEMA kutoka nje ya ukumbi wa Bunge jana jioni. Hakika sikuona mantiki wa walichokifanya mbali ya CHADEMA kuanza kutengeneza ombwe la upinzani wenye maana uliotarajiwa na Watanzania wengi.
Miezi mitano imepita tangu tumalize uchaguzi, CHADEMA bado hawaonekani kufunga ukurasa wa siasa za wakati wa kampeni za uchaguzi. CHADEMA wana lazima ya kuingia kwenye maisha magumu na ya kawaida ya kisiasa.
Maisha ya kisiasa yenye changamoto zake. Migogoro ya ndani ya Chama ikiwamo kutofautiana kimawazo. Uimarishaji wa chama mikoani na wilayani, kwa nchi nzima na mengine mengi. Ni ukweli CHADEMA bado haijaimarika katika ngazi za chini.
Na changamoto za kisiasa hazikimbiwi, hukabiliwa kwenye majukwaa ya kisiasa. Wabunge wa CHADEMA hawakuwa na sababu za msingi za kutoka nje ya bunge. Badala yake, wangepambana kwa hoja ndani ya Bunge. CHADEMA si wanajua, kuwa hatma ya jambo lile lilikuwa ni kupigiwa kura. Kwamba wangeshindwa. Ni sehemu ya mapambano ya kisiasa.
Watanzania tuna matatizo haya mawili; Mosi, tu mahodari sana wa kuukana ukweli. Pili, tu mahodari sana wa kuupotosha ukweli. Ukichanganya na kukimbilia kushabikia mambo na kutofikiri kwa kina, basi, tunashindwa kabisa kuambizana ukweli hata kama tunauona. Kwa kitendo cha jana, Wabunge wa CHADEMA hawakuwa sahihi. Kuwaambia vinginevyo si kuwasaidia.
Wakati mwingine kukimbilia kutoka nje ya Bunge hakupelekei kupata huruma ya kisiasa bali hasira za kisiasa kutoka kwa wapiga kura. Ndio, kuna gharama zake. Mtatoka nje bungeni mara ngapi? Na CHADEMA kutoka nje bungeni kulikuwa na hasara zaidi kuliko faida. Huku mitaani, kuna watu wanaoanza kuiangalia CHADEMA kwa miwani mingine. Kwa staili hii, itafika mahali Wabunge hao wakaja kuzomewa Kibaigwa, Msamvu na kwengineko.
Na David yule wa Kafulila kausema ukweli wake; kuwa. "Tunashinda kwa asilimia 20 tunakataa mseto, tukipata asilimia 60 hali itakuwaje, ukipata kidogo uoneshe una busara ya kufanya kazi pamoja, kwa hali hiyo ukipewa kikubwa huwezi kuaminika." Anasema David Kafulila wa NCCR Mageuzi.
Sikilizeni, enyi ndugu zangu wa CHADEMA, yale tuliokuwa tukiwashutumu CCM, CHADEMA sasa mnayafanya mara mbili yake! Tumeilaumu, na bado tunailaumu sana CCM kuwa chama kisichokubali mabadiliko. Chama ambacho hakitaki kujenga misingi ya kugawana madaraka na wengine.
<font color="black">Leo CHADEMA hamjaingia madarakani mnaanza mapema kuwachagua wa kukaa meza moja na nyinyi. Mnavikebei vyama vingine ikiwamo CUF. Tuchukue mfano
Ndugu Zangu,
SASA ni dhahiri shahiri kuwa CHADEMA inapoteza mwelekeo. Hili si jambo jema kwa demokrasia yetu changa tunayotaka kuijenga.
Nimesoma kwa makini magazetini habari kuhusu sakata la wabunge wa CHADEMA kutoka nje ya ukumbi wa Bunge jana jioni. Hakika sikuona mantiki wa walichokifanya mbali ya CHADEMA kuanza kutengeneza ombwe la upinzani wenye maana uliotarajiwa na Watanzania wengi.
Miezi mitano imepita tangu tumalize uchaguzi, CHADEMA bado hawaonekani kufunga ukurasa wa siasa za wakati wa kampeni za uchaguzi. CHADEMA wana lazima ya kuingia kwenye maisha magumu na ya kawaida ya kisiasa.
Maisha ya kisiasa yenye changamoto zake. Migogoro ya ndani ya Chama ikiwamo kutofautiana kimawazo. Uimarishaji wa chama mikoani na wilayani, kwa nchi nzima na mengine mengi. Ni ukweli CHADEMA bado haijaimarika katika ngazi za chini.
Na changamoto za kisiasa hazikimbiwi, hukabiliwa kwenye majukwaa ya kisiasa. Wabunge wa CHADEMA hawakuwa na sababu za msingi za kutoka nje ya bunge. Badala yake, wangepambana kwa hoja ndani ya Bunge. CHADEMA si wanajua, kuwa hatma ya jambo lile lilikuwa ni kupigiwa kura. Kwamba wangeshindwa. Ni sehemu ya mapambano ya kisiasa.
Watanzania tuna matatizo haya mawili; Mosi, tu mahodari sana wa kuukana ukweli. Pili, tu mahodari sana wa kuupotosha ukweli. Ukichanganya na kukimbilia kushabikia mambo na kutofikiri kwa kina, basi, tunashindwa kabisa kuambizana ukweli hata kama tunauona. Kwa kitendo cha jana, Wabunge wa CHADEMA hawakuwa sahihi. Kuwaambia vinginevyo si kuwasaidia.
Wakati mwingine kukimbilia kutoka nje ya Bunge hakupelekei kupata huruma ya kisiasa bali hasira za kisiasa kutoka kwa wapiga kura. Ndio, kuna gharama zake. Mtatoka nje bungeni mara ngapi? Na CHADEMA kutoka nje bungeni kulikuwa na hasara zaidi kuliko faida. Huku mitaani, kuna watu wanaoanza kuiangalia CHADEMA kwa miwani mingine. Kwa staili hii, itafika mahali Wabunge hao wakaja kuzomewa Kibaigwa, Msamvu na kwengineko.
Na David yule wa Kafulila kausema ukweli wake; kuwa. "Tunashinda kwa asilimia 20 tunakataa mseto, tukipata asilimia 60 hali itakuwaje, ukipata kidogo uoneshe una busara ya kufanya kazi pamoja, kwa hali hiyo ukipewa kikubwa huwezi kuaminika." Anasema David Kafulila wa NCCR Mageuzi.
Sikilizeni, enyi ndugu zangu wa CHADEMA, yale tuliokuwa tukiwashutumu CCM, CHADEMA sasa mnayafanya mara mbili yake! Tumeilaumu, na bado tunailaumu sana CCM kuwa chama kisichokubali mabadiliko. Chama ambacho hakitaki kujenga misingi ya kugawana madaraka na wengine.
<font color="black">Leo CHADEMA hamjaingia madarakani mnaanza mapema kuwachagua wa kukaa meza moja na nyinyi. Mnavikebei vyama vingine ikiwamo CUF. Tuchukue mfano
Wewe Pumbavu kaa pembeni na akili yako kama sisimizi. Hayo uliyoyasema ni akili yako wewe na hakuna hata mtu mmoja anayeitakia mema nchi hii ambaye anaona chadema imekosea.
Kwanza wewe umeibukia wapi? Si ulikuwa unatumika na ccm kwenye kampeni, naona bado unajipendekeza. Njaa hii itawaua wewe na mwenzio michuzi.
Ninyi ndio watu wamewachoka kutokana na upuuzi wenu na tamaa yenu ya kukubali kumtumikia kafiri eti kwa sababu ya hela ya mpito.
Mwangalie mwenzio michuzi, watu wamempotezea na hakuna mtu anayesoma wala kupeleka habari kwenye blog yake tena zaidi ya yeye mwenyewe kupiga picha za udaku na kuzibandika hapo kwenye blog yake.
Na wewe naona unataka kutoka kwa kutum,pia mgongo wa chadema.
Kweli chadema tishio, kila mtu anataka umaarufu kupitia chadema. HAKUNA ATAKAYEWASIKILIZA NINYI WANAFIKI.
PUNGWANI.........................................!!!! P*%#$@*&%$U!!! Muombe mama yako uzaliwe tena labda kautaahira katapungua!!!!
Pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Wameshakurudisha kwenye payroll yao? kawajibu hivi, huku JF sio sehemu ya kuja kuleta propaganda na siasa za majitaka, kama wao ni mahodari wa kufafanuwa vifungu waendelee na kufafanua zaidi kwamba hakuna kambi ya upinzani kwani kambi zipo kwenye majeshi. Hatudanganyiki ng,ooooooooooooooooooooooooooooooooo. peleka pumba zako kwenye magazeti ya Habari leo, Rai na Uhuru na Mzalendo.
Mkuu sijui argument yako umeibase kwenye nini....
Kwamba Chadema ili waonekane wapinzani lazima waungane na CUF...?
According to Chadema CUF ni CCM B na sio wakuwaamini, Je ni kosa kufikilia hivyo.., Chadema wanatakiwa wafanye kazi kulingana na watu wanaowaona watawasaidia..., sasa wewe huko nje mshabiki ndio wa kuwachagulia watu wa kufanya nao kazi?
Kutoka nje ya Bunge ni symbolic ya kuonyesha kutoridhika na CCM, that is normal.. na kama unajua CCM wanamajority bungeni hakuna kitu kitakachopita kwa kujadiliana Diplomatically.., kwahiyo Chadema cha kufanya ni kuwawekea break CCM, na kuhakikisha wanafunua madudu yao..., kazi kamili ipo mtaani Mjengoni its just a formality
Majid,
Hoja ya kafulila haina hoja kwa sababu kama chama kikipata 60% kitakuwa na sababu gani ya kuungana na vingine? Sababu kubwa ya vyama kuungana ni unyonge wao na vinaungana ili kuongeza nguvu zaidi. Hakuna chama duniani kilichoungana na chama kingine i hali kina nguvu kikiwa peke yake. Sikurajia mtu kama wewe ushabikie hii hoja ya Kafulila ambayo najua hata yeye mwenyewe aliitoa kwa lengo la kuchekesha Bunge tu.