Nilijua tu kuwa jf mwenye pumba ni Hamy d, nilipoona title tu nikajua mpuuz huyu atakuwa yeye. Hanaga logic ktk thread zake tena anaanzisha mpaka thread 7 kwa siku halafu zote ni pumba na matusi. Endelea kusafiria mbeleko ya mods ila ipo cku nao watakuchoka watakuban. Unatukanaga sana matus kwa Mbowe na Slaa ila unaachiwa. Kwa akil yko fnyu unadhan taifa linajengwa bungen. Vingap vzur chadema wameshaur bungen ila havfanyiw kaz na serikal ya ccm? we unataka waende na matofal wakajenge taifa mle bungen? Haya watanzania wamekufa na chadema wanawazika kama utu unavyoelekeza, ww unataka waacha mazish waende bungen watoe hoja halaf hamzishugulii bali mnazomea. Wajenge taifa vp sasa? Mleta uzi acha upuuz. I bet u must hav disability in ur brain and thinking, acha ujinga na fikir kabla hujaanzisha uzi mwanamtoka pabaya wewe.
bavicha kwa matusi na kejeli hawajambo.