Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Mbona mfano unao Tanzania? Hiyo tume ya Warioba si imeundwa kwa 50p ratio Zanzibar na bara? Au umeshasahau?
Mfano si Tanzania, huku kwetu tunachemsha,nataka mfano toka kwenye mataifa mengine yenye miungano,wapi umewahi kuona equal ratyio representation? Manaake usiwe mwepesi kukosoa wakati wewe ndio huelewi!
Kiufupi, hamna kitu kama hicho,population ndio inadetermine ratio ya uwakirishi, hata hivyo huku kwetu kmekuwa na upendeleo kwa Wazanzibar! Lakini wao hawalijui hilo! Nadhani na wewe ni mmojawao!
Ndio maana nimetoa mfano wa US,UK na kwingine kwingi,Wawakirishi huwa wanawakirisha watu,si Land!