sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
haiwezekani wazenj hawana uwezo huo,hii mambo ya serikali tatu yanakwenda kuua muungano sasa hivi.kumbe ndo maana kambarage alikua amegoma kabisa...ratio ya wabunge wa muungano pia ni issue kubwa.
Kati ya mambo ambayo naomba Mungu asaidie ni huu muungano kuvunjika!
Labda kama umuhimu wake umebaki siri ya viongozi.. Ila kwa mimi mvaa ndala mtaani bado sijaona!
Na kila mmoja arudi kwao.. Tunaung'ang'ania muungano wa nini?