Wabunge wengi utasikia kule kwangu nimejenga shule mfano mh mwijage eti nimejenga viumba vya madarasa wakati wananchi nawao wanachangia kwaiyo wabunge waache kujisifu
Moja walilotekeleza ni kukisifia chama bungeni na kukitetea! Wabunge wengi bungeni ni watetezi wa chama na sio wa wananchi! Ingawa wabunge wa namna hii wanapatikana kwenye vyama vyote, lakini wengi wako ccm...!
Wabunge wengi utasikia kule kwangu nimejenga shule mfano mh mwijage eti nimejenga viumba vya madarasa wakati wananchi nawao wanachangia kwaiyo wabunge waache kujisifu