Wabunge wengi utasikia kule kwangu nimejenga shule mfano mh mwijage eti nimejenga viumba vya madarasa wakati wananchi nawao wanachangia kwaiyo wabunge waache kujisifu
Moja walilotekeleza ni kukisifia chama bungeni na kukitetea! Wabunge wengi bungeni ni watetezi wa chama na sio wa wananchi! Ingawa wabunge wa namna hii wanapatikana kwenye vyama vyote, lakini wengi wako ccm...!
Wabunge wengi utasikia kule kwangu nimejenga shule mfano mh mwijage eti nimejenga viumba vya madarasa wakati wananchi nawao wanachangia kwaiyo wabunge waache kujisifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.