Jana nilifika TRA-samora pale nje nilinasa mazungumzo ya mzungu na msaidizi wake 'Shabani why dont you give him chochote so that this nightmare can end,its been a week now'. Hiyo chochote ilivyotamkwa(chouchoute) ilikuwa burudani tosha.Nikawaza jamani rushwa imetapakaa kiasi hata wageni inabidi watoe ili kuokoa muda wao,hii kiboko.