- Jero = 500/=
- Buku = 1,000/=
- Msimbazi = 10,000/=
- Jamaa anakula mzigo wa rafiki yake = jamaa anatembea na mke wa rafiki yake
- Jamaa anapiga yule demu = jamaa anatembea na yule mwanamke
- Demu = mwanamke
- Mshkaji wangu = mtu ninayeelewana naye
- Mambo mbona poa tu = mambo yako safi
- Yaani bonge la noma = hali sio swari
- Longolongo kibao = maneno mengi hakuna msaada
- Jamaa kaniwekea usiku = jamaa amenikwamisha katika maswala
- Wanga wengi = kuna watu wasiotakia wenzao mema
- Jamaa kanipa dili = jamaa kanifanyia mipango ya jambo la maana
- Jamaa anakula bata = jamaa mambo safi
Endelea hapa.....