Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 316
- 339
Leo Rafiki yangu kanisimulia👇🏻
Jamaa anasema, kuna mwamba alioa mwanamke mwenye mtoto wa miaka saba, akamlea yule binti kiroho safi kabisa na kwa upendo japo si bintiye akamsomesha inshot huduma zote jamaa akawa anatoa.
Baadae yule mwanamke wakafanikiwa kupata watoto wengine, sasa yule binti wa kumlea akawa mkubwa akapata kazi nje ya Tanzania now ni mtu anajiweza amejenga mjengo wake lakini bado hajaolewa. Lakini sasa Baba wa huyu binti yupo hai ila alioa mwanamke mwingine na wote wanakaa sehemu moja.
Jamaa anasema, binti anataka kufanya kitu cha ajabu sana yaani anataka Mama yake aachane na huyu mwanaume aliyemlea toka yupo na miaka saba ili Mama yake eti aolewa na Baba yake, sijui unaelewa? Yaani eti yeye awaunganishe wazee wake wakati Baba yake alioa mwanamke mwingine na akazaa naye na Mama yake pia aliolewa na akazaa watoto wengine na huyu Baba aliyemlea binti.
Sasa sijui atatumia mbinu gani kuwauganisha, dunia ina viumbe sana hii.
Mambo ni mchanganyo sana 🙌🏾
Jamaa anasema, kuna mwamba alioa mwanamke mwenye mtoto wa miaka saba, akamlea yule binti kiroho safi kabisa na kwa upendo japo si bintiye akamsomesha inshot huduma zote jamaa akawa anatoa.
Baadae yule mwanamke wakafanikiwa kupata watoto wengine, sasa yule binti wa kumlea akawa mkubwa akapata kazi nje ya Tanzania now ni mtu anajiweza amejenga mjengo wake lakini bado hajaolewa. Lakini sasa Baba wa huyu binti yupo hai ila alioa mwanamke mwingine na wote wanakaa sehemu moja.
Jamaa anasema, binti anataka kufanya kitu cha ajabu sana yaani anataka Mama yake aachane na huyu mwanaume aliyemlea toka yupo na miaka saba ili Mama yake eti aolewa na Baba yake, sijui unaelewa? Yaani eti yeye awaunganishe wazee wake wakati Baba yake alioa mwanamke mwingine na akazaa naye na Mama yake pia aliolewa na akazaa watoto wengine na huyu Baba aliyemlea binti.
Sasa sijui atatumia mbinu gani kuwauganisha, dunia ina viumbe sana hii.
Mambo ni mchanganyo sana 🙌🏾