unakaa kwenye bus na mtu mnene kama tufe, mpaka tunachoreana mstari,mambo gani haya!
Mifuta na minyamanyama yote hiyo ya nini?
Unene sio sifa, eboo
Life is too short to waste time hating anyone.........by pretaunakaa kwenye bus na mtu mnene kama tufe, mpaka tunachoreana mstari,mambo gani haya!
Mifuta na minyamanyama yote hiyo ya nini?
Unene sio sifa, eboo
mmmhuu BT unachapiaje leo?...hebu soma comment zako zote...l.o.l!kweli huyo bonge kakupanikisha!
Hapo umewaambia wabongo tu wapunguze. Je ingekuwa umekaa na Mkenya au Mganda au Mzungu usingeboreka ee? Au unene wa wabongo ndo unaboa sana?
Life is too short to waste time hating anyone.........by preta
wapo walionenepa na waliofutuka.
Hii sredi iko chit chat lakini ndo ukweli wa mitazamo ya wa tz wengi,eti unene unaonyesha uko safi, aa wapi !!. Asee mi na ndugu ya bonge ikitokea shida ya haraka gari likakosa seat bora apotezee safari. Kusimama 15 mins kwake ni adhabu tosha. Mi kama ni safari ndefu tunachukua seat tofauti.
hahaaahhaaa BAGAH hii simu inaniumbua, inataka kila mtu ajue kama ni mpya, bonge hajanipanikisha, nimeamua kukubali hali halisi, akijitanua tu namwambia kuwa hii siti na mie nimelipia.......ila bonge ni bonge la mstaarabu hadi noma
unakaa kwenye bus na mtu mnene kama tufe, mpaka tunachoreana mstari,mambo gani haya!
Mifuta na minyamanyama yote hiyo ya nini?
Unene sio sifa, eboo
hahahahahaa.. BADILI TABIA umetisha...sim umechukulia mkopo kabisa...lolest...kitu touch nini?....afu madole mapana basi yanagusa herufi yoyote tu...uwiii...
Jaman BADILI TABIA asa km unene wangu ndio ugonjwa wa Rejao wangu mie nifanyeje!
Watozwe nauli dabo! Faini ya kuendekeza kula.