BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
- Thread starter
- #81
Sasa kama ni mstaarabu ina maana ww ndo umekosa ustaarabu?
Pole mwaya, uachage kupanda yutong. Mie nanenepa mwenzio manake bila minyama uzembe Paw atanirudisha kwetu kwa kukosa shukrani.
@ustaarabu wake hauna maana hanibani.......
Sirudii tena kupanda yutong, ila bahati nzuri nimefanikiwa kuhama seat, basi lilikuwa halijajaa