Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,855
Ila wabongo mjifunzeni kuwa romantic kwenye mahusiano/ndoa. Penzi linanoga ukiwa romantic bana.

Yaani sijajua sijui ni desturi au ni ushamba yaani unakuta mwanaume unarudi home unamkuta wife jikoni anapika we unaketi sebuleni unasubiri amalize Kupika alafu eti yeye ndo anaanzisha salamu.

Kwa walio romantic unakuta anamfuata wife jikoni makiss Kama yote alafu anamsaidia na kupika

Ila eti wewe unajikuta kidume no romantic moves kwenye ndoa.

Wengine hata kuambiana Nakupenda kwenye ndoa ni shida yaani mnaishi kijeshi jeshi..

Wengine hata kukumbatiana wife akirudi au hata kumtia moyo kwa maneno ya kimahaba hapana ni full ukomandoo!

Hata mkipita Town kumshika hata mke wako kimahaba huwezi.Yaani mkiingia Town kila mtu chocho zake ilimradi msionekane pamoja..
 
Kwa hiyo mkitafuta money there's no need to be romantic in a relationship
Sasa kama mtu umejaribu kuwa romantic halafu majibu yake anakwambia usimletee hizo mambo za kwenye tamthilia za kifilipino .huyo mtu nitamsaidiaje kwa mfano.

Siku akipatikana atakakubali kuwa treated like a 🤴..I’llbe zea...😩😩
 
Sasa kama mtu umejaribu kuwa romantic halafu majibu yake anakwambia usimletee hizo mambo za kwenye tamthilia za kifilipino .huyo mtu nitamsaidiaje kwa mfano.

Siku akipatikana atakakubali kuwa treated like a ..I’llbe zea...
Dah!nani huyo anadiriki kuwa mjeshi mbele ya totori..totoz
Wabongo bana
 
Back
Top Bottom