1. Gari la kuvutwa hali overtake.
2. Hata uwe na bahati vipi hauwezi kuokota nyumba.
3. Mganga wa jadi haagizi samaki/mchicha.
4. Wimbo wa taifa haupigwi disco.
5. Kandambili haipigwi kiwi
6. Usiteme Big G kwa karanga za kuonjeshwa.
7. Hata bibi alikuwa binti.
9. Kipara bila pesa ni kovu.
10. Mbwa hanenepi miguu
11. Picha ya Rais haina bodyguard.
12. Mjini shule kijijini tuition.
13. Uzuri na shepu mjini, tabia kijijini
15. Silaha pesa, kisu na bastola mizigo.
16. Kuku ni kuku tu, jogoo jina.
17. Kusoma kuelewa kukesha mbwembwe