Wabongo bwana, hawashindwi!

Wabongo bwana, hawashindwi!

kic
competition ya ufaulu ndio unaobagua apo.... iyo ndio main point. sio private schools wala government schools. mbona kuna watu wa izo shule za kata wametusua hatariii, mfano t.o alisoma shule ya kata benjamin william mkapa o level mererani, na akapiga one ya tatu pale tabora boys...mbona t.o wa shule ya kata kafanya vzuriii ata kuliko hao wa feza na st marry?
tatizo kichwa jiwe huwezi kutofautisha kati ya TCU na HELSB
hapa kinachoongelewa ni vigezo vya kupata mkopo na sio vigezo vya kuchaguliwa facult na TCU ndo wanaconsider hizo vitu ulivyokomaa navyo wewe stuka bas khaaa au hujui ni vigezo gan ambavyo wanamconsider mtu katika kutoa mkopo?
 
Anayehisiwa angejitokeza hadharani ingesaidia! Yawezekana hawana uhusiano lakini wahusika wakaogopa hilo jina wakajikuta wametoa mkopo (kama kweli amepata) kwa non priority course! Lakini siku hizi kuna msemo mashuhuri "kutengua"!
 
Kwa mfano Mimi MHAGAMA mwakajana nilipata mkopo tayari mngesha sema kwa kua ni ndugu naJENISTER MHAGAMA si ndio na Mimi jenister namonaga tuu kwenye TV hata yeye hanijui jamani majina sio hoja OK sawa inawezekana kasoma private but walio kua wanamsomesha wamefariki pindi yupo kwenye mitihani ya form 6 tayari akapata kipaumbele cha mkopo pia kasoma arts ila anashida na maisha kwa mfano Mimi baba yangu japo nilikuwa siishi naye kwa mda mrefu ila nilifiwa na mama halafu baba kaja kufariki tayari nilisha omba mkopo hapo bodi hawato gundua kitu bac tuu nyie subirini mda mwingine form zenu hazijafika bodi kwa ajili ya kuchakatuliwa kwani Mimi nilikosa mkopo kwenda kuula wakanambia uliomba mkopo ila form yako hukutuma hapa nikawapa risiti ya EMS ndo kuamini kuhusu kapata 3 sio lengo LA bodi kuto mkopesha mwenye division 3 kwani kama ana vigezo (means tested) ni lazima apate haijalishi anaufaulu wa chini kwani tayari kakidhi vigezo
 
point ilikua private schools na shule za kata, eti kisa umetoka shule ya kata na ufaulu wowote upewe tu, ivi kwa mfano mtu kasoma feza boy taasusi ya pcb akagonga one ya point sita na mwingne wa shule ya kata pcb akagonga three ya 14 C,E. swali who will be considerd in preference to the other?
Iv pcb ya shle ya kata unaijua una iskia
 
tumeambiwa yote tuyafanyayo tuyafanye kaajili ya sifa na tukufu wa Mungu, nami sina lakusema bali sifa na utukufu uwe kwako ee Mwenyezi Mungu ulie juu ya wote juu ya vyote na juu yoote amina.
Amen
 
Back
Top Bottom