injinia mganga
Member
- Oct 13, 2016
- 94
- 21
Huyu Jacqueline ndio nani?
upo Na mimi naisoma hiyo nambaAisee mimi ni miongoni mwa wanaoendelea kuisoma
Waliopata ni akina JAQLINE FELIXTupo weng kumbe sasa waliopata kina nan?
ata kama kasoma private iwe ni feza, au st nini, kama mtu kapasua ana one ya tano, si lazma apewe, kwaiyo yeye aachwee mwenye three ya 13 DDE apewe?Hhuyu jackreen ndio nani
Karudie kusoma zile priorities za bodi ndo urudi hapaata kama kasoma private iwe ni feza, au st nini, kama mtu kapasua ana one ya tano, si lazma apewe, kwaiyo yeye aachwee mwenye three ya 13 DDE apewe?
point ilikua private schools na shule za kata, eti kisa umetoka shule ya kata na ufaulu wowote upewe tu, ivi kwa mfano mtu kasoma feza boy taasusi ya pcb akagonga one ya point sita na mwingne wa shule ya kata pcb akagonga three ya 14 C,E. swali who will be considerd in preference to the other?Karudie kusoma zile priorities za bodi ndo urudi hapa
Em kasome tena vile vigezo aisee...tena read between the lines mkuu.point ilikua private schools na shule za kata, eti kisa umetoka shule ya kata na ufaulu wowote upewe tu, ivi kwa mfano mtu kasoma feza boy taasusi ya pcb akagonga one ya point sita na mwingne wa shule ya kata pcb akagonga three ya 14 C,E. swali who will be considerd in preference to the other?
Lakini hata kama ni hivyo, huku mtaani walio pata divn two hawastahili kusoma? tena pcb.. Na je kama watasoma wanauwezo wa kijifadhili wenyewe? Au ndo wapate akina jackln kwanza?point ilikua private schools na shule za kata, eti kisa umetoka shule ya kata na ufaulu wowote upewe tu, ivi kwa mfano mtu kasoma feza boy taasusi ya pcb akagonga one ya point sita na mwingne wa shule ya kata pcb akagonga three ya 14 C,E. swali who will be considerd in preference to the other?
competition ya ufaulu ndio unaobagua apo.... iyo ndio main point. sio private schools wala government schools. mbona kuna watu wa izo shule za kata wametusua hatariii, mfano t.o alisoma shule ya kata benjamin william mkapa o level mererani, na akapiga one ya tatu pale tabora boys...mbona t.o wa shule ya kata kafanya vzuriii ata kuliko hao wa feza na st marry?Lakini hata kama ni hivyo, huku mtaani walio pata divn two hawastahili kusoma? tena pcb.. Na je kama watasoma wanauwezo wa kijifadhili wenyewe? Au ndo wapate akina jackln kwanza?
acha lawama kila mtu atavuna kwa uwezo ake, ila kilio chako cha uchungu na cha kuwa mhangaa ni apo 2020. makinika kwa sera zenye tija za ukawa, na sio kuleta shobo kwenye viono vya kina shilole,oprah,chura kipindi kile cha compain. tanzania mpya inakujaaaIpo siku utaimba haleluya!
Kuleni tu hii nchi na kipindi kitafika mtaishi ka mashetani!
No sooner the time!
Kwa hiyo unadhani waliopigwa chini wamefeli? Uwe unapima maneno kabla hujaongeaata kama kasoma private iwe ni feza, au st nini, kama mtu kapasua ana one ya tano, si lazma apewe, kwaiyo yeye aachwee mwenye three ya 13 DDE apewe?