Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,489
- 40,999
Nyie na kina nani?Waambie serikali ya awamu ya tano imeharibu kabisa mradi wa mwendokasi. Waambie huku Tanzania mradi kama mradi uliondoka na JK sasaivi kilichobaki ni uchafu mtupu na takataka tu.
Waambie huku kupanda mwendokasi ni kama kukubali kwenda kazini au shule ukiwa mchafu. Mradi haueleweki, mabasi mengi yako hovyo na mabovu, hayafanyiwi maintanance kwa wakati na muda wowote mnaweza kuambiwa hakuna mabasi.
Kikubwa waambie waje siku Tanzania waone jinsi serikali ya awamu ya Tano ilivyoharibu hii mradi. Zaidi waambie kama wanamtaka Magufuli waje wamchukue na ukilaza wao wa CCM kwa sababu sie hatumtaki tenaaa!!
Naona mnamkubali Mzee Baba!Nipo mkuu nilikuwa mzigoni
Sawa ahsante kwa ushauri
Baada ya Corona 'kuisha' bongo kaingia mitini kama alivyoingia mitini maandamano yalipobuma.Kwani Da Mange yeye anasemaje?
Mhh mbna km unataka kuswitch IDs na Kawe Alumni 😅Ni Magufuli hii 2020.
Mwambie hajui anachoongea. Tunamtaka Tundu Lissu tu!!
💉 💉💉💉🎯🎯🎯
Magufuli 2020💯
Wewe ushafika Ulaya?Najua ni uhuru wa kuongea ila huyu dada na kukaaa ulaya kote akili kibuyu sana, hata hajui kua mradi wa DART ni chini ya awamu ipi, afterall anadhani hiyo tu ni sababu ya kuwashawishi watu wachague chama flani?
Hakuna cha mkongomani wala Denmark....huyo ni msukuma....dereva wa bus....dadisi vizuri.90% ya wabeba maboksi wana maisha magumu sana.. Akiwemo huyu mleta thread..