Wabaya wa Lowassa wazidi kuumbuka

Wabaya wa Lowassa wazidi kuumbuka

Fisadi wa pesa au mwizi wa pesa ndiye mbaya zaid
 
Toa ujinga huu, nilijua issue za ufisadi kumbe hiyo..sio bure una matatizo kijanaa..
 
Mtachonga sana wanafiki. mtachonga sana mnaotumwa na Lowassa...mwisho ukweli utajulikana,najua mnaweweseka sababu Chadema imebaki maiti.
 
Kwanini Lowassa ameingizwa hapa? kuna agenda gani na Lowassa? tufikirie kwa mapana jamani,
Huku kwenye JF kuna mtu alishawahi kuni PM akaniambia mimi nazubaa huku wakati watu wanachangamkia mahela kwa Lowassa...Nilimtolea uvivu palepale kuwa Lowassa hawezi kununua utu wangu.
Kwa hiyo jamani tuwe makini na watu wanaotaka kumsafisha Lowassa kwa kutumia njia mbalimbali huku
. Lowassa akitubu kwa Mungu na kuwaomba Watanzania Masamaha halafu akurudisha mali zote kwa watanzania alizozipora kwa njia haramu mbona atasafishika lakini siyo kwa ujanjaujanja anaoutumia

wakati mwingine jitahidi ufiche ujinga wako,ila tambuwa huwez mchafuwa lowassa kwa chuki zako za kupandikizwa
Lowassa kuwa na hela naona inakukera sna,ila ulipaswa kuwalaumu wazaz wako kipindi lowassa anatafuta hela wao walikuwa wakicheza mchezo wa kujificha
 
Mkuu usisahau kuwa maandishi hayabadiliki kibaya zaidi ni nukuu kutoka kwenye thesisi yake iliyompatia Phd,kama anakana
maandishi yake hata hiyo Phd huenda aliandikiwa

Alidesa
 
Mkuu usisahau kuwa maandishi hayabadiliki kibaya zaidi ni nukuu kutoka kwenye thesisi yake iliyompatia Phd,kama anakana
maandishi yake hata hiyo Phd huenda aliandikiwa

Well said Mkuu.
No wonder hata hakujua aliyemuandikia thesis aligusia hilo.
Thats why jana akawa ana note ili akahakikishe kama kuna kitu kama hicho kwenye thesis yake
 
teh,teh yaani Lowasa kafikia hatua ya kuokoteza hoja.mpaka CHADEMA tuseme ndo akombeleze makombo
 
MANTIKI HAPA NI NINI? KUMSAFISHA MAMVI? Pengine mwishowe mtafanikiwa

uongo Wa Mwakyembe kwenye hili suala halimfanyi Lowasa kufaa kuongoza nchi hii ambayo kwa sasa inahitaji uongozi uliotukuka siyo haya magenge ya waharifu.
 
Suala la serikali tatu, kwa Mh Mwakyembe halikuwa suala la "msimamo"....kutokana na utafiti wake....it was the only "logical" solution! Labda atuambie hiyo logic imeishia wapi!

Hata hivyo, sitamlaumu sana Mh Mwakyembe, analinda kitumbua chake! Nikitizama CCM inavyoisema tume na namna wanavyo wa treat kina Warioba.....inahitaji ujasiri mkubwa kuwa ndani ya CCM na kwenda kinyume na wanavyotaka hata kama mantiki inakataa. Je, Mh Mwakyembe anaujasiri gani? Hata Shivji ambae tulidhani hafungamani na chama cha sasa lakini nae anayakana maandishi yake! Nimejikuta natafakari sana usemi wa Mh Lema..... "dhambi kubwa kuliko zote ni uoga"!
 
Wabaya wa Lowasa kwa sababu walisema ukweli ama? Kama wao wana matatizo hiyo siyo nyenzo ya kusema walikosea kumkosoa EL. The guy is a thief period. Mengine haya ni maloloso tu. Kama asingekuwa mwizi asingejiuzulu.

Watawala watafika wakati watagoma kabisa kujiuzulu kwa kuwajibika kwa makosa yaliyo fanyika chini yao kwa maneno ya aina hii. Nani siyo mwizi ktk CCM?
 
Suala la serikali tatu, kwa Mh Mwakyembe halikuwa suala la "msimamo"....kutokana na utafiti wake....it was the only "logical" solution! Labda atuambie hiyo logic imeishia wapi!

Hata hivyo, sitamlaumu sana Mh Mwakyembe, analinda kitumbua chake! Nikitizama CCM inavyoisema tume na namna wanavyo wa treat kina Warioba.....inahitaji ujasiri mkubwa kuwa ndani ya CCM na kwenda kinyume na wanavyotaka hata kama mantiki inakataa. Je, Mh Mwakyembe anaujasiri gani? Hata Shivji ambae tulidhani hafungamani na chama cha sasa lakini nae anayakana maandishi yake! Nimejikuta natafakari sana usemi wa Mh Lema..... "dhambi kubwa kuliko zote ni uoga"!

Hakuna issue ya msimamo hapo, ni uchumia tumbo unao msumbua.
 
MANTIKI HAPA NI NINI? KUMSAFISHA MAMVI? Pengine mwishowe mtafanikiwa

"Suala hapa siyo kumsafisha mamvi,ila kikubwa unapomnyooshea kidole mwenzako kwa uchafu na madudu lazima nawe tukuchambue kwa madudu yako,kuasi msimamo wa maandishi yako kwenye jambo lenye tija kitaifa kama hili huna tofauti na mhujumu uchumi"
 
Mtachonga sana wanafiki. mtachonga sana mnaotumwa na Lowassa...mwisho ukweli utajulikana,najua mnaweweseka sababu Chadema imebaki maiti.

"Chadema imeingiaje tena hapa?endeleni kutetea wachumia tumbo na wanafiki wa matumbo yao huku maslah ya nchi waliyokuwa wanayasimamia wameshayapa kisogo"
 
utter stupidity! thesis ya doctorate yake inahusiana nini na Dr kama Waziri na msimamo wa serikali na chama chake..kingine hii connection ya lowassa, katiba mpya, serikali 3 na mwakyembe umeshindwa kuijenga, eti fisadi wa kalamu..Fisadi kwaambie maboss wako atabaki kua yule wa pesa kwa sababu economc crimes zinadidimiza uchumi na kuathiri siasa, uongozi, na maendeleo ya jamii kwa ujumla...wapuuzi kama nyie mko wengi sana na jamii mara nyingi uongozwa na mpuuzi mkuu

"Simtetei EL lakini kwa tanzania chochote chawezekana,kwani kama tukisema ile ilikuwa ni mbinu ya Mwakyembe kujitafutia umaarufu na ili apate ulaji serikalini utabisha,Una uhakika sakata la richmond linamgusa EL tu?Rais yeye alikuwa hajui yanayoendelea?Waziri wa wizara husika hakuwepo?Hi game bado mbichi tusubiri muda tu.MWAKYEMBE anapokana maandishi yanayogusa maslah ya nchi anatofautiana vipi na mhujumu uchumi yeyote wa taifa hili?Kwanini aangalie maslah ya chama na si ya taifa?HUO NDIYO UNAFIKI NINAOUZUNGUMZIA
 
Kwa sasa siamini kabisa kwamba ile tume ilitoa report ya kweli . Nadhani palikua na hujuma tu ya kumtoa Lowassa madarakani baada ya kuwa mwiba kwa wazembe kazini.
CCM siiamini tena hasa kwa upande wa bara.Kila mtu anaangalia malengo yake .Hakuna msafi. Hata 6 unafiki wake ndio ahueni ya wapinzani na mtaji wake kisiasa
 
Well said Mkuu.
No wonder hata hakujua aliyemuandikia thesis aligusia hilo.
Thats why jana akawa ana note ili akahakikishe kama kuna kitu kama hicho kwenye thesis yake

Mkuu sasa mwenye Phd halisi hapa bongo ni nani haswa kwa maana nimeanza kuogopa kama tuliekuwa tunaamini kuwa ni jembe Mwakiembe kumbe nae ni yumo kwenye kundi la wenye Phd za kutiliwa shaka
 
Back
Top Bottom