NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Hebu tujaribu kuainisha faida tutakazo zipata wabara endapo muungano utavunjika
1. Ajira zitaongezeka (nafasi zote zinazoshikiliwa na wa zanzibar zitarudi kwa wa bara)
2. Fursa pi zitaongezeka (biashara zote zinazoshikiliwa na wazanzibar kushikwa na wabara au wazanzibar kuingia ubiya na wabara)
3. Pato lataifa litakuwa wazanzibar watalipia viabari vya kuja bara na kupata working permit ambazo watalipia
4.
1. Ajira zitaongezeka (nafasi zote zinazoshikiliwa na wa zanzibar zitarudi kwa wa bara)
2. Fursa pi zitaongezeka (biashara zote zinazoshikiliwa na wazanzibar kushikwa na wabara au wazanzibar kuingia ubiya na wabara)
3. Pato lataifa litakuwa wazanzibar watalipia viabari vya kuja bara na kupata working permit ambazo watalipia
4.