Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
IKibidi hivi itabidi na mimimwanangu neinde kumpima DNA wanawake hawaaminiki kabisa. Unaweza kumlea toto sio la kwako kabisa.Mi huwa napenda kuamini kwamba mtoto siku zote ni wa mama, wanaume kazi yetu ni kulea,
Hii ya kweli aisee. Mjukuu wa ukweli ni toka kwa mtoto wa kike. Sasa huyo anataka akamweleweshe nini?
Duh!hii inatisha kama njaa!Kuna familia watoto hawarandani kabisa........tafauti ni kubwa mno!😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:
Mkuu hii inachoma sana!Mhh, nahisi mkuki moyoni !.
Na kama wewe ulibambikiwa huyo mtoto wa kike maana yake hata hao wajukuu (watoto wa binti yako feki) sio wako.....................
Teh teh teh!tabia hii ipo Afika au dunia nzima?hii kwa Afrika ndio kabisaaa, maana unakuta mama ana MUME, KIDUMU, KIWALET, KI M-PESA, MPAKA RANGI nk. ukijifanya unapima DNA jua unatafuta kulia mtuzima.
Duh!hii inatisha kama njaa!
Duh!wake zetu tuhurumieni jamani!Kwa mpango huu. Tutapima ukoo mzima halafu tutambue unidentified elements. Unakuta mtoto yupo rough Yaani unashindwa kujua kaurithi toka kwa nani.
Teh teh teh!anajua kuna uhakika wa kupata pesa!Naijua familia moja kuna POLISI kuna MWANASHERIA na kuna MUUZA UNGA (Hiki ndio kipenzi cha mama)
Teh teh teh!mke bado anampenda mume wake!Yaani mnatoka kwa Mkemia halafu Mama nae
amekomaa Baba Salha ngoja nimueleweshe ?
Ila haya mambo ni kupiga moyo konde tu
maana ufuatiliaji huu wa vipimo ni mbaya sana.
Teh teh teh!mjukuu wa mtoto wa kike naye anaweza kuwa fake kwa baba,kwani mama yake mwenyewe anaweza kuwa fake pia!Hii ya kweli aisee. Mjukuu wa ukweli ni toka kwa mtoto wa kike. Sasa huyo anataka akamweleweshe nini?