😂😂Kumbe michembe sio chakula na hamsemiTunakosea kula michembe kama chakula. Unategemea nini?
hawa walishaandaliwa tokea wadogo Wazazi wao walitengnezea mazingira ya kuwa nao karibu mapema lakini wazaz wetu sisi tunawaogopa na hatun mda nao wa kupanga nao kitu chochote kileWakuu Wenzetu Waarabu na Wahindi Wanawaandaa Watoto Wao kuwa na uwezo wa ku manage Biashara kubwa kama hii ya mabus wakiwa vijana wadogo.
Huyu Anaitwa Amran Ally Mohamed Said au Amran Kifaru ndio mmiliki na msimamizi Mkuu wa Mabus ya Ally's Star.
Ally Star ni Mabus yanayofanya Root za Dar To Mwanza, Kuna Mwanza to Tabora, Kuna Mwanza Kahama, Kuna Mwanza To Dom nk.
Mzee Wake Amran Kifaru ameamua kumwachia umiliki na usimamizi Wa Hii Biashara Kubwa huyu Kijana Mdogo Kabisa.
Je, Sisi Tunakosea wapi Kwenye kuwaandaa Watoto wetu kufanya Na Kusimamia miradi mikubwa Kama Hii?
View attachment 2405585
Hata ulichokiandika hakielewekiTatizo waafrica wengi wanadhani biashara ni kwa wale walioshindwa maisha sehemu zingine!,biashara inabidi ukane nafsi yako!
Michembe ni nini?Tunakosea kula michembe kama chakula. Unategemea nini?
Acha uongo...Mbona kuna watoto wakichaga wanawakimbiza hawa wahindi na waarabu
Matobolwa yaani viazi vinapikwa halafu vinakatwakatwa baadae vinaanikwa juani, vinapikwa kipindi cha njaa au chakula tu cha nyumbani kwa wenyeji wa Tabora
Ndio nakuwahonga malaya na michepuko sasa mtu unalaki tu unaita wanakamati wote wakazini bado yule uliyesoma naye na kuongeza malaya ili genge lijae wenzenu starehe watakustarehesha ila kukupa hela weee hadi wakuone umechakaa kiaso fulani.Sisi tunakosea 1. Umalaya 2. Ulevi 3. Kutaka jionyesha kuwa tuna pesa sasa.
Yule kijana adi bio ya insta kaweka allys star sasa ukute kawekeza sijui basi ngapi😂 ila all in all watu wa forex wanapata pesa nyingi kwa kufanya mentorship na sio pesa za wao kutoa sokoni forex😂Kuna Dogo mmoja anaitwa elikanafx ni mtu wa forex alisema hayo mabasi anashare zake 😂😂😂na yey ni mmiliki huyu kijana na mwanafunzi wa Ontario .
Yuko makiniWakuu Wenzetu Waarabu na Wahindi Wanawaandaa Watoto Wao kuwa na uwezo wa ku manage Biashara kubwa kama hii ya mabus wakiwa vijana wadogo.
Huyu Anaitwa Amran Ally Mohamed Said au Amran Kifaru ndio mmiliki na msimamizi Mkuu wa Mabus ya Ally's Star.
Ally Star ni Mabus yanayofanya Root za Dar To Mwanza, Kuna Mwanza to Tabora, Kuna Mwanza Kahama, Kuna Mwanza To Dom nk.
Mzee Wake Amran Kifaru ameamua kumwachia umiliki na usimamizi Wa Hii Biashara Kubwa huyu Kijana Mdogo Kabisa.
Je, Sisi Tunakosea wapi Kwenye kuwaandaa Watoto wetu kufanya Na Kusimamia miradi mikubwa Kama Hii?
View attachment 2405585
AsanteCha msingi tuwasingizie ufrimasoni