wanajamvi ,kwa wale wapenzi wa kipindi cha vichekesho cha Futuhi kinachorushwa na star tv,ningependa kujua kama kuna yeyote anayefahamu kuhusu wale waanzilishi wa kipindi hicho! Maana ni wiki kadhaa sasa naona wahusika wengi ni wageni tu na wale waanzilishi hawaonekani tena!