GE2025 Waangalizi SADC: Uchaguzi Mkuu wa Tanzania haukuwa HURU wala wa HAKI

GE2025 Waangalizi SADC: Uchaguzi Mkuu wa Tanzania haukuwa HURU wala wa HAKI

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Vijana mnashindwa nini kutimia fursa hiyo nchi nyingi barani afrika hata na ulaya hazikubaliani na uonevu ambao ulitokea TZ waombeeni wawasadia vifaa
Mechi hii ichezwe alafu tuone je watakimbia kama alivyokimbia mobutu au watakaa ili wafe pamoja na watoto wao
 
Hivi mmeshajiuliza wapinzani WOTE wangesusia kama chadema mama angekuwa rais Kwa njia ipi?ishini NAO vizuri Hawa.si ungeumbuka.lakini wale mnaowadharau Leo ndo wamekuja kwenye kuapishwa kwako .na ndio waliokupitisha
 
Hivi mmeshajiuliza wapinzani WOTE wangesusia kama chadema mama angekuwa rais Kwa njia ipi?ishini NAO vizuri Hawa.si ungeumbuka.lakini wale mnaowadharau Leo ndo wamekuja kwenye kuapishwa kwako .na ndio waliokupitisha
Kwani wapinzani walioenda kushiriki uchaguzi hivyo vyama vyao ulishawahi kuvisikia wapi tofauti na TLP, ACT na CHAUMA
 
Hawa nao ni wajinga, kulikuwa na uchaguzi wapi wakusema haukuwa wa haki wala huru? maigizo na mauaji ya raia ndiyo ulikuwa uchaguzi?
 
Back
Top Bottom