Hivi ili uwe muandishi wa habari, mtangazaji au mhariri unapaswa kupitia hatua zipi??
Wiki iliyopita king'amuzi chetu cha Azam kiliisha. Nikawasha redio kuisikiliza mechi ya Simba na Singida.
Mara nikasikia sauti ya mzee wangu ikinambia " tafuta kituo kingine, hao watangazaji stori ni nyingi". Nikabadili chap, nikafika kituo kingine, napo yalikuwa yaleyale.
Mtangazaji: Ni mechi nzuri ya kuvutia. Mpira unapigwa haswaaa au unasemaje mchambuzi wangu (YYY)
Mchambuzi: Exactly, Ni kweli mbungi linapigwa, exposure kubwa na confident ya wachezaji iko high hii inaonyesha samani ya ligi yetu. Ligi inawachezaji wengi experiencing ambao wamepata experienced kutokana na a alot of an international matches.(🤣🤣🤣🤣🤣🤣)
(Wakati wakiendelea na stori zao, na vingeleza vya uongo, mara tukasikia kelele kwa jirani. Tukaamini kuna tukio limetokea. Labda goli au mtu amekoswakoswa lakini sisi hatukujua lolote)
Ghafla tukasikia mtangazaji anasema " Singida wanapoteza nafasi ya wazi hapa, alikua Rupia, alipiga shuti kali sana lililipita mita chache tu, Camara alisimama akishangaa kama mbwa aliyepotea, anahema kwa kasi sana hapa.(🤣🤣🤣)
Kumbe ile redio tulikuwa tunasikiliza wengi, maana baada ya kauli ile ya mtangazaji tulicheka kwa pamoja watu wengi tuliokuwepo nyumbani. Baada ya hapo hatukuendelea na kuufatilia mpira, mada ikaanza.
Dadangu mmoja alisema hivi " bora hao wa mpira, wanapiga stori zao lakini ni za mpira huo huo, kuna hawa wa kusoma magazeti redioni asubuhi, ni makelele tuu" akatoa mfano
M1: Mwananchiiiiiiiiiiiiiiiii
M2:Unasema ??????
M1: Mwananchiiiiiiiiiiiiiii
M3: Gazeti la Mwananchi linasemaje?????
M1: Ujue wananchi wanaokaa pembezoni mwa mbuga wanapata changamoto nyingi sana.
M2: kwanin??
M1:Gazeti la mwananchi linasema. Wananchi Simiyu walalamikia tembo.
M3: Walalamikia tembo??? Tembo wakale wapi?? Kwani tembo wanalima?? Mimi ningekuwa tembo na ningesikia hizo tuhuma ningewafata hao watu wangenikoma.
(Waandishi wote wanacheka) wanaamia gazeti lingine.
Kuna gazeti moja kubwa kwenye ukurasa wa mbele liliandika IJP amefanya mabadiliko kikosi cha usalama barabarani, badala ya kusema IGP. Unajiuliza aliyeandika hivi ni nani?? Gazeti halina mhariri ?? Unabaki kushangaa.
Wiki iliyopita king'amuzi chetu cha Azam kiliisha. Nikawasha redio kuisikiliza mechi ya Simba na Singida.
Mara nikasikia sauti ya mzee wangu ikinambia " tafuta kituo kingine, hao watangazaji stori ni nyingi". Nikabadili chap, nikafika kituo kingine, napo yalikuwa yaleyale.
Mtangazaji: Ni mechi nzuri ya kuvutia. Mpira unapigwa haswaaa au unasemaje mchambuzi wangu (YYY)
Mchambuzi: Exactly, Ni kweli mbungi linapigwa, exposure kubwa na confident ya wachezaji iko high hii inaonyesha samani ya ligi yetu. Ligi inawachezaji wengi experiencing ambao wamepata experienced kutokana na a alot of an international matches.(🤣🤣🤣🤣🤣🤣)
(Wakati wakiendelea na stori zao, na vingeleza vya uongo, mara tukasikia kelele kwa jirani. Tukaamini kuna tukio limetokea. Labda goli au mtu amekoswakoswa lakini sisi hatukujua lolote)
Ghafla tukasikia mtangazaji anasema " Singida wanapoteza nafasi ya wazi hapa, alikua Rupia, alipiga shuti kali sana lililipita mita chache tu, Camara alisimama akishangaa kama mbwa aliyepotea, anahema kwa kasi sana hapa.(🤣🤣🤣)
Kumbe ile redio tulikuwa tunasikiliza wengi, maana baada ya kauli ile ya mtangazaji tulicheka kwa pamoja watu wengi tuliokuwepo nyumbani. Baada ya hapo hatukuendelea na kuufatilia mpira, mada ikaanza.
Dadangu mmoja alisema hivi " bora hao wa mpira, wanapiga stori zao lakini ni za mpira huo huo, kuna hawa wa kusoma magazeti redioni asubuhi, ni makelele tuu" akatoa mfano
M1: Mwananchiiiiiiiiiiiiiiiii
M2:Unasema ??????
M1: Mwananchiiiiiiiiiiiiiii
M3: Gazeti la Mwananchi linasemaje?????
M1: Ujue wananchi wanaokaa pembezoni mwa mbuga wanapata changamoto nyingi sana.
M2: kwanin??
M1:Gazeti la mwananchi linasema. Wananchi Simiyu walalamikia tembo.
M3: Walalamikia tembo??? Tembo wakale wapi?? Kwani tembo wanalima?? Mimi ningekuwa tembo na ningesikia hizo tuhuma ningewafata hao watu wangenikoma.
(Waandishi wote wanacheka) wanaamia gazeti lingine.
Kuna gazeti moja kubwa kwenye ukurasa wa mbele liliandika IJP amefanya mabadiliko kikosi cha usalama barabarani, badala ya kusema IGP. Unajiuliza aliyeandika hivi ni nani?? Gazeti halina mhariri ?? Unabaki kushangaa.