johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Watangazaji wa Clouds tv Sasali, Kabaye na Ngoma wamesema wakili msomi Albert Msando hana haki ya kuwasemea wananchi wa Arusha kuhusu Corona.
Ngoma amesema RC Gambo ndio anajua hali halisi ya mkoa wake, Msando anapaswa kuelezea waliofisadi mali za CCM waliowachunguza na siyo Corona. Amesisitiza kuwa wao kama waandishi wanaongozwa na miiko ya taaluma yao katika kuandika na kuripoti habari hivyo Msando asiwafundishe kazi.
Watangazaji hao nguli walikuwa wanaijadili clip iliyosambaa mitandaoni ikimuonyesha Msando akigawa Barakoa na vitakasa mikono kwa waandishi wa habari wa Arusha, na wamemkosoa kwa kugawa barakoa wakati yeye mwenyewe akiwa hajavaa.
Pia soma > Albert Msando ‘amwaga’ vifaa vya Corona kwa wanahabari Arusha, adai hali ni mbaya sana - JamiiForums
Chanzo: Clouds tv!
Ngoma amesema RC Gambo ndio anajua hali halisi ya mkoa wake, Msando anapaswa kuelezea waliofisadi mali za CCM waliowachunguza na siyo Corona. Amesisitiza kuwa wao kama waandishi wanaongozwa na miiko ya taaluma yao katika kuandika na kuripoti habari hivyo Msando asiwafundishe kazi.
Watangazaji hao nguli walikuwa wanaijadili clip iliyosambaa mitandaoni ikimuonyesha Msando akigawa Barakoa na vitakasa mikono kwa waandishi wa habari wa Arusha, na wamemkosoa kwa kugawa barakoa wakati yeye mwenyewe akiwa hajavaa.
Pia soma > Albert Msando ‘amwaga’ vifaa vya Corona kwa wanahabari Arusha, adai hali ni mbaya sana - JamiiForums
Chanzo: Clouds tv!