Waandishi andikeni kuhusu Crypto Currency

KABENDA

New Member
Jan 21, 2014
2
1
Kauli ya Mama, Dunia imeandika. Bongo je? Blogs za Bongo mnaandika nini hii ni hot cake info inaweza kuwapa mileage. Fanyeni utafiti andikeni kwa Kiswahili watu wasome na kuelewa.

IMG-20210614-WA0013.jpg
IMG-20210614-WA0013.jpg
 
Huko Duniani tu crypto haieleweki sembuse Tanzania ndio watu waelewe?

Mama amedanganywa, haya mambo bado machanga sana hata huko kwa watu wa Dunia ya kwanza.

Tushugulikie mambo ya msingi kwanza kama maji, upatikanaji wa huduma za mtandao na mambo kama hayo. Sehemu kubwa tu za vijijini mtandao wa kawaida wa tigo pesa, mpesa ni changamoto sembuse crypto? Tuwe serious basi kidogo.
 
Hivyo vitu hata havieleweki, hata wanaoelekeza nao hawavielewi bado.
Mbona vitu vipo clear kabisa vinaeleweka, sema vinahitaji ufuatiliaji wa hali ya juu...

But naamini Mama ni mweupe kujusiana na hizo issue maana hata hao washauli wake wengi ni weupe kabisa.....
 
Mbona vitu vipo clear kabisa vinaeleweka, sema vinahitaji ufuatiliaji wa hali ya juu...

But naamini Mama ni mweupe kujusiana na hizo issue maana hata hao washauli wake wengi ni weupe kabisa.....
Sio mama tu, naamini watz wengi tutakua weupe kwenye hili...

Waelezaji wenyewe ndio kama hivo wewe kwamba vipo clear vinaeleweka umemaliza, mwingine akijitahidi anacopy na kupaste historia ya hizo bitcoins kutoka google huko kamaliza.
 
Sio mama tu, naamini watz wengi tutakua weupe kwenye hili...

Waelezaji wenyewe ndio kama hivo wewe kwamba vipo clear vinaeleweka umemaliza, mwingine akijitahidi anacopy na kupaste historia ya hizo bitcoins kutoka google huko kamaliza.
Hahahahah, hivyo vitu huwezi muelezea mtu kwa siku moja, inahitaji mtu akae chini umpe somo.huwezi mfundisha mtu physics kwa siku moja

Nadhani nimeeleweka vizuri....
 
Huko Duniani tu crypto haieleweki sembuse Tanzania ndio watu waelewe?

Mama amedanganywa, haya mambo bado machanga sana hata huko kwa watu wa Dunia ya kwanza.

Tushugulikie mambo ya msingi kwanza kama maji, upatikanaji wa huduma za mtandao na mambo kama hayo. Sehemu kubwa tu za vijijini mtandao wa kawaida wa tigo pesa, mpesa ni changamoto sembuse crypto? Tuwe serious basi kidogo.
Whether inaeleweka au haieleweki Technology always wins. Na ni bora ukajiandaa nayo kuliko kukaa kimya na kujifanya huioni.

Na mama alichosisitiza ni BoT kuanza kuielewa Blockchain Technology na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom