Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.