Waafrika tuacheni unafiki dhidi ya Floyd

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Sep 10, 2016
6,324
5,934
Floyd kauawa imekuwa ishu kubwa na kupelekea baadhi ya nchi za kiafrika kuandamana, ni ulimbukeni tu!

Ninyi mnaocomment humu na kupost mada zenu kuhusu kusikitishwa alichofanyiwa Floyd je, mlikuwa wapi Mzee wetu na kiongozi wetu wa Afrika Marehemu Gadafi siku anauawa dhidi ya Mjaluo na Mwafrika mwenzetu OBAMA akishirikiana na ndugu zake mabeberu weusi na weupe?

Je, kuna yeyote humu kati yenu ama viongozi wa afrika waliothubutu kupaza sauti na kutaka watu waandamane kwa tukio la mzee wetu! kiongozi alie na huruma na imani kwa Waafrika wenzie amedhalilishwa kiasi hicho na amekosa wa kumtetea nanyi mnaangalia tu!!! Huu ni ubaguzi ulio wazi kabisa, na Mungu anawaona!
images.jpeg-2.jpg
images.jpeg-1.jpg

Yote hayo mmeyapotezea 👆🏿

Waafrika tuna matatizo sana sana sio siri, Ndugu yetu kauawa tumetulia kimyaa kama hakujatokea chochote, Na wengine humu humu wafuasi wa mabeberu wakimsema na kumkashifu vibaya huyu mzee wetu na kuungana kwa pamoja na hao mabeberu wasiotutakia mazuri..Anaweza kuchukiwa kwa mengi, lakini ukweli lazima usemwe kwamba huyu ni kiongozi aliyesimama imara kupinga ukoloni wa aina yoyote na wala asiyeogopa kusema lolote dhidi ya wakoloni.

Floyd kauawa, Mabeberu/Black American's wameandamana kwa pamoja na kupora mali za watu, Ujerumani na Kenya pia wameandamana sababu tu ya Floyd..

Okay, mbali na Floyd kuuawa..je kuna mmoja wenu alieguswa na vifo vinavyotokea Libya, Congo, Iraq, Mali, Syria, Yemen, Msumbiji na Palestina? watu wasio na hatia wanauawa dhidi ya hao hao mabeberu mmetulia kimyaa, Palestina kila siku watoto, wajane, wazee wanauawa kikatili dhidi ya wayahudi na yote haya wanayaona hawa mabeberu, Black American's + All Africans lakini hawakuwahi kupaza sauti, wala kuandamana, badala yake wanafurahia na kuchekelea vifo vinavyotokea katika nchi hizo..Inasikitisha sana sana.


Unafiki umetujaa sana waafrika, na hasa hapa bongo kwa kujipendekeza na kujifanya watu wema na wenye huruma hatujambo!


Ni hayo tu!
 
Hata hao wanaoandama Huko USA Ni wanafiki tupu..! Floyd alikuwa mhalifu aliyefungwa mara 5 mfululizo, moja wapo ya kosa alilofungwa Ni ujambazi kwa kumshikia mama mjamzito bunduki tumboni, Japo hili halihalalishi kuuliwa kwake, Ni unafiki kumtukuza Kama shujaa

Wapo Wamarekani weusi wema wanauawa na majambazi ambao Ni Wamarekani weusi Ila Wala hakuna mwenye habari nao
 
Sidhani kama yanayofanyika huko sehemu nyinginezo hayaonekani, la hasha!

Ni hivi,

Katika dunia hii tunayoishi, Marekani hutafsiriwa na kuonekana kama 'baba' kutokana na uwezo pamoja na ushawishi wake mkubwa katika masuala mbalimbali ya kidunia.

Maana hiyo ni kuwa kila jambo litokealo nchini Marekani kwa namna moja ama nyingine, matokeo ya jambo hilo husambaa katika nchi nyinginezo duniani hata vile isivyotarajiwa kama hiki kionekanacho hivi sasa.

Ninachotaka kusema ni kuwa, ukiondoa maandamano ambayo yamekuwa yakijiri nchini Marekani, maandamano mengineyo katika nchi nyinginezo yamechochewa zaidi na ushawishi wa Marekani na si hisia tu juu ya tukio la George Floyd.
 
kuna mmoja wenu alieguswa na vifo vinavyotokea Libya, Congo, Iraq, Mali, Syria, Yemen, Msumbiji

Tukipinga haya kuna watu wanasema ama wanatuita magaidi mujahedeen

Ila unafiq mbaya sana aseee.
We don't care kuhusu vifo vya waarabu wa nje ya Africa wafe tu. Tunajali wa ndani ya Africa.
.
miarabu mibaguzi sana inaua ndugu zetu kinyama
 
Hata hao wanaoandama Huko USA Ni wanafiki tupu..!
Floyd alikuwa mhalifu aliyefungwa mara 5 mfululizo, moja wapo ya kosa alilofungwa Ni ujambazi kwa kumshikia mama mjamzito bunduki tumboni, Japo hili halihalalishi kuuliwa kwake, Ni unafiki kumtukuza Kama shujaa

Wapo Wamarekani weusi wema wanauawa na majambazi ambao Ni Wamarekani weusi Ila Wala hakuna mwenye habari nao
... duh! Kumbe Floyd alikuwa mkora tena wa kutumia silaha? That means alishawachosha polisi hadi wakamwekea kisasi. Haina tofauti na Polisi Tanzania; ukiwasumbua sana siku unaingia 18 zao wallahi huchomoki! Wana ka-statement kao maarufu "... alifariki muda mfupi baada ya kufikishwa hospitali ..." hapo ni baada ya kufanya yao.
 
A very nice foto pose of brother and sister.

Kweli Ghadaf tulikaa kimya tuli, wakati huyu ndiyo ulikuwa mkondo wa waAfrika kufuata.
 
Ghadaf baadaye aligeuka akawa ni mtu mzuri ajabu. Nadhani alijua sasa adui wa watu wa bara la Afrika ni nani.
Nashauri AU itenge siku ya kumkumbuka akiwa kama shujaa wa Afrika.
Utakua zaidi ya Unafiq AU hii hii ambayo ilikataa kumpa msaada wowote ?!?...
 
Hata hao wanaoandama Huko USA Ni wanafiki tupu..! Floyd alikuwa mhalifu aliyefungwa mara 5 mfululizo, moja wapo ya kosa alilofungwa Ni ujambazi kwa kumshikia mama mjamzito bunduki tumboni, Japo hili halihalalishi kuuliwa kwake, Ni unafiki kumtukuza Kama shujaa

Wapo Wamarekani weusi wema wanauawa na majambazi ambao Ni Wamarekani weusi Ila Wala hakuna mwenye habari nao
Ooh really!!! What you're failing to understand kila mtu ana purpose yake haba duniani Floyd his purpose was to bring changes kuhusu police brutality na systematic racism. Wamekufa wengi ila Floyd ameleta mabadiliko.... His life left a mark na wanaandamana they do so for the right reasons.
 
... duh! Kumbe Floyd alikuwa mkora tena wa kutumia silaha? That means alishawachosha polisi hadi wakamwekea kisasi. Haina tofauti na Polisi Tanzania; ukiwasumbua sana siku unaingia 18 zao wallahi huchomoki! Wana ka-statement kao maarufu "... alifariki muda mfupi baada ya kufikishwa hospitali ..." hapo ni baada ya kufanya yao.
Alikuwa keshakamatwa mara 20 na polisi kwenye matukio mbalimbali kabla ya hiyo ya mwisho
Lakini hili huwezi kulisikia kwenye mainstream media
 
Dah! Kuwa na criminal record si ticket ya mtu yeyote yule KUULIWA kinyama popote pale duniani achilia mbali Marekani. Ulichokiandika hapa si kweli, "Wapo Wamarekani weusi wema wanauawa na majambazi ambao Ni Wamarekani weusi Ila Wala hakuna mwenye habari nao" JIONGEZE ili uweze kujua ni namna gani Wamarekani weusi na hata wasio weusi ambavyo wanapambana kufuatilia vifo au maonevu mengi yanayofanywa na polisi kwa watu weusi badala ya KUROPOKA kitu ambacho huna UFAHAMU nacho.

Hata hao wanaoandama Huko USA Ni wanafiki tupu..! Floyd alikuwa mhalifu aliyefungwa mara 5 mfululizo, moja wapo ya kosa alilofungwa Ni ujambazi kwa kumshikia mama mjamzito bunduki tumboni, Japo hili halihalalishi kuuliwa kwake, Ni unafiki kumtukuza Kama shujaa

Wapo Wamarekani weusi wema wanauawa na majambazi ambao Ni Wamarekani weusi Ila Wala hakuna mwenye habari nao
 
We don't care kuhusu vifo vya waarabu wa nje ya Africa wafe tu. Tunajali wa ndani ya Africa.
.
miarabu mibaguzi sana inaua ndugu zetu kinyama


Wewe ni mbaguzi, mdini, na unachuki mbaya dhidi ya waarabu. Gadafi kauawa dhidi ya mjaluo nadhani unalijua hilo ndio maana umeleta utaifa wako hapa racism mkubwa wewe usie na haya., it shows ulifurahia kifo chake, kule congo, mali, sudan kusini, south afrika wanauliwa na wakina nani?
 
Back
Top Bottom