Huyu dogo ameteka mioyo ya watu wengi baada ya kuonesha kiwango kizuri cha kusakata soka.
Kama ilivyo kawaida ya Waafrika, Wazimbabwe tayari wameanza kelele nyingi na kumkaribisha team ya taifa na tayari wameshampa uraia 😂😂😂.
Mitandaoni huko dogo anatukanwa sana baada ya kusema ukweli kuwa yeye asihusianishwe na Zimbabwe. Yeye ni Mwingereza, amezaliwa Uingereza na wala hapajui Zimbabwe.
Ushauri wangu kwetu Waafrika tulioko Afrika; tuendelee kujitafuta hadi tuwe bora kila sekta, umasikini unafanya watu wakudharahau.
Kama ilivyo kawaida ya Waafrika, Wazimbabwe tayari wameanza kelele nyingi na kumkaribisha team ya taifa na tayari wameshampa uraia 😂😂😂.
Mitandaoni huko dogo anatukanwa sana baada ya kusema ukweli kuwa yeye asihusianishwe na Zimbabwe. Yeye ni Mwingereza, amezaliwa Uingereza na wala hapajui Zimbabwe.
Ushauri wangu kwetu Waafrika tulioko Afrika; tuendelee kujitafuta hadi tuwe bora kila sekta, umasikini unafanya watu wakudharahau.