Waafrica tuna laana si bure

Waafrica tuna laana si bure

365

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
1,377
Reaction score
1,460
Serikali inasema vijana wajiajili ikiwa kwenye vyombo vya habari,
Vijana wakianza kujiajiri inawakuta huko walikojiajiri inawafukuza,sasa sijui nchi hii itaendelea katika mfumo gani.

Maana yangu,baada ya vijana wengi kuhitimu vyuo na kukosa ajira,wengi imebidi wajiajiri kwenye kilimo cha umwagiliaji,sasa huko wanakoloma wengi wanatumia maji ya mito inayowazunguka,lakini cha ajabu serikali imepiga marufuku vijana wasitumie maji hayo eti wanaharibu rasimali,sasa najiuliza kazi za maji hayo ni zipi?

Ndo mambo yaleyale...mzawa usichimbe dhahabu ila mzungu achimbe.

Serikali kama inakataa maji yasitumike basi iseme hayo maji yanaenda wapi,na kufanya nini..haiwezekani izuie vijana kunufaika na rasilimali za nchi..
 
Haha. Government is not solution for our problems but itself is a huge problem.
 
Kujiajili sio mchezo mchezo jiulize kilichowashinda wenyewe ni nn ilitamkwa kila mtu ataisoma namba haijalishi ww ulisoma PGM AU HKL
 
Kujiajili sio mchezo mchezo jiulize kilichowashinda wenyewe ni nn ilitamkwa kila mtu ataisoma namba haijalishi ww ulisoma PGM AU HKL
Kweli mkuu, Mbona wanakimbilia si-ha-sa!!!
 
Serikali inasema vijana wajiajili ikiwa kwenye vyombo vya habari,
Vijana wakianza kujiajiri inawakuta huko walikojiajiri inawafukuza,sasa sijui nchi hii itaendelea katika mfumo gani.

Maana yangu,baada ya vijana wengi kuhitimu vyuo na kukosa ajira,wengi imebidi wajiajiri kwenye kilimo cha umwagiliaji,sasa huko wanakoloma wengi wanatumia maji ya mito inayowazunguka,lakini cha ajabu serikali imepiga marufuku vijana wasitumie maji hayo eti wanaharibu rasimali,sasa najiuliza kazi za maji hayo ni zipi?

Ndo mambo yaleyale...mzawa usichimbe dhahabu ila mzungu achimbe.

Serikali kama inakataa maji yasitumike basi iseme hayo maji yanaenda wapi,na kufanya nini..haiwezekani izuie vijana kunufaika na rasilimali za nchi..
Kila jambo na tararibu zake! Haina maana kwa vile ni kujiajiri basi kila mtu ajifanyie anavyotaka. Hakuna nchi ya namna hiyo duniani.
Fuata sheria na taratibu zilizowekwa utafanikiwa.
 
Kila jambo na tararibu zake! Haina maana kwa vile ni kujiajiri basi kila mtu ajifanyie anavyotaka. Hakuna nchi ya namna hiyo duniani.
Fuata sheria na taratibu zilizowekwa utafanikiwa.
Nchi hii ukifuatilia kwa undani kabisa,hakuna taratibu wa mikakati ya maendeleo iliyowekwa na watawala ama viongozi wa kiafrica,taratibu nyingi zinazotumika ni zile zilizoachwa na wakoloni kwahiyo serikali ilizichukua kama zilivyo...ndo mana kila kitu unakuta ni cha serikali na si cha wana wa nchi...kumbuka kipindi hicho serikali ilikua ya mkoloni kwahiyo kila rasimali ilikua mali ya mkoloni (serikali),ukifika wizara ya maji waambie wakupe tafsiri ya maji na sheria zake utashangaa sana....

Mpaka sasa asilimia 92 ya ardhi ya nchi hii haijatumika ipasavyo kwasababu hizohizo...

Kuna haja ya serkali kutafsiri upya rasilimali ili zilete manufaa kwa wana wa nchi
 
Nchi hii ukifuatilia kwa undani kabisa,hakuna taratibu wa mikakati ya maendeleo iliyowekwa na watawala ama viongozi wa kiafrica,taratibu nyingi zinazotumika ni zile zilizoachwa na wakoloni kwahiyo serikali ilizichukua kama zilivyo...ndo mana kila kitu unakuta ni cha serikali na si cha wana wa nchi...kumbuka kipindi hicho serikali ilikua ya mkoloni kwahiyo kila rasimali ilikua mali ya mkoloni (serikali),ukifika wizara ya maji waambie wakupe tafsiri ya maji na sheria zake utashangaa sana....

Mpaka sasa asilimia 92 ya ardhi ya nchi hii haijatumika ipasavyo kwasababu hizohizo...

Kuna haja ya serkali kutafsiri upya rasilimali ili zilete manufaa kwa wana wa nchi
Umeongea sana mkuu
 
bangi ikukutwa kwenye shamba langu ni yangu lakini ikikutwa dhahabu ndani ya shamba langu ni ya serikali, ova
 
Serikali inasema vijana wajiajili ikiwa kwenye vyombo vya habari,
Vijana wakianza kujiajiri inawakuta huko walikojiajiri inawafukuza,sasa sijui nchi hii itaendelea katika mfumo gani.

Maana yangu,baada ya vijana wengi kuhitimu vyuo na kukosa ajira,wengi imebidi wajiajiri kwenye kilimo cha umwagiliaji,sasa huko wanakoloma wengi wanatumia maji ya mito inayowazunguka,lakini cha ajabu serikali imepiga marufuku vijana wasitumie maji hayo eti wanaharibu rasimali,sasa najiuliza kazi za maji hayo ni zipi?

Ndo mambo yaleyale...mzawa usichimbe dhahabu ila mzungu achimbe.

Serikali kama inakataa maji yasitumike basi iseme hayo maji yanaenda wapi,na kufanya nini..haiwezekani izuie vijana kunufaika na rasilimali za nchi..
Aisaee pole mkuu!! hayo maji yanaenda huko Misri .... yana kusanywa na kumwagika ziwani, na mengine yanaelekea kumezwa bahari hindi !!! inasikitisha sana...
poor mentality !!
 
Kila jambo na tararibu zake! Haina maana kwa vile ni kujiajiri basi kila mtu ajifanyie anavyotaka. Hakuna nchi ya namna hiyo duniani.
Fuata sheria na taratibu zilizowekwa utafanikiwa.
Kuna sheria inakataza kilimo cha umwagiliaji mkuu? Naomba nijuze....
 
Kuna sheria inakataza kilimo cha umwagiliaji mkuu? Naomba nijuze....
Hakuna sheria inayokataza hicho kilimo, ila kuna maeneo ambayo kilimo cha aina yoyote hakiruhusiwi.
Hivyo kabla hujaanzazisha shughuli yoyote sio kilimo tu mkuu, hakikisha inalandana na taratibu na sheria za nchi na sehemu husika ili kuepuka hasara zisizokuwa za lazima. Kila la kheri!
 
Serikali ina mambo ya ajabu wakati mwingine wao wanaturudisha nyuma....

OVA
 
Hakuna sheria inayokataza hicho kilimo, ila kuna maeneo ambayo kilimo cha aina yoyote hakiruhusiwi.
Hivyo kabla hujaanzazisha shughuli yoyote sio kilimo tu mkuu, hakikisha inalandana na taratibu na sheria za nchi na sehemu husika ili kuepuka hasara zisizokuwa za lazima. Kila la kheri!
Asante nmekupata mkuu... Ila ungedadavua hayo maeneo kwa faida ya wote
 
Back
Top Bottom