vukani
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 245
- 165
Wanandoa walikorofishana muda mfupi kabla ya kwenda kulala.
Baada ya ugomvi kila mmoja akaamua kulala upande wake, maarufu kama mzungu wa nne.
Ilipofika alfajiri kama mjuavyo, jamaa jogoo wake akawa amewika yaani ile kitu imesimama haswa, jamaa kwa hasira akawa anaiambia kitu yake we unajua jana usiku tumegombana, sasa kusimama simama alifajiri hii si ni kunionea bure, unadhani leo utapewa, imekula kwako
Mkewe akajibu., kwani ugomvi wetu unawahusu nini? Kama wao wanataka kucheza waache wacheze
Jamaa kwa furaha akajibu, Ni kweli mke wangu ugomvi wetu hauwahusu kabisa, hebu tuwaache wacheze ..
Kilichoendelea kila mmoja wetu anakifahamu ..LOL