Wa-Tanzania DC Mchagueni Mamuya!

Ningekuwa mwana DMV kura yangu angepata bila ubishi

[video=vimeo;40188730]http://vimeo.com/40188730[/video]
 
Mimi ni msanii wa CCM...Ndugu W.J.S.M

2012 dunia yako chaguo ni lako...

chagua mamuya kwa sababu ni mchumi....anajipenda atawapa maisha mazuri
chagua yeye kwa sababu ni mweupe, mnene, hana uchoyo
 
Jamani, uchaguzi umeshamalizika na Idd Saddaly amepata kura za kishindo, zaidi ya 50%. Wana D.C. tunaserebuka ingawa ubalozi wetu umesikitika Loveness Mamuya hakupata ushindi. Wamejaribu kufanya njama achukuliwe angalau kama naibu katibu mkuu, ili awemo awemo kwenye nafasi ya uongozi wa jumuiya mpya lakini imeshindikana. Mimi huwa sipendi personal attacks lakini nilivyosikia ni kwamba huyu mama alikuwa anataka kujenga CV yake ili hatimaye achukuliwe kama mbunge wa viti maalumu chini ya CCM. Jumuiya yetu ni mpya, itakuwa na matatizo mengi na tunahitaji mtu ambaye atakuwa dedicated kwa jumuiya na si kuitumia kama jukwaa la kujipeleka mbele. Wale wanaomsifia Bi. Mamuya kwamba ni mchumi na msomi kwa kweli hawamfahamu huyu mama. Sitaki kuingilia personal lakini kwa kifupi ni kwamba jumuiya yetu isitumiwe kama stepping stone. Nimefurahi sana kupiga kura na nina matumaini makubwa kwa jumuiya yetu mpya.
 
Jamani, uchaguzi umeshamalizika na Idd Saddaly amepata kura za kishindo, zaidi ya 50%. Wana D.C. tunaserebuka ingawa ubalozi wetu umesikitika Loveness Mamuya hakupata ushindi. Wamejaribu kufanya njama achukuliwe angalau kama naibu katibu mkuu, ili awemo awemo kwenye nafasi ya uongozi wa jumuiya mpya lakini imeshindikana. Mimi huwa sipendi personal attacks lakini nilivyosikia ni kwamba huyu mama alikuwa anataka kujenga CV yake ili hatimaye achukuliwe kama mbunge wa viti maalumu chini ya CCM. Jumuiya yetu ni mpya, itakuwa na matatizo mengi na tunahitaji mtu ambaye atakuwa dedicated kwa jumuiya na si kuitumia kama jukwaa la kujipeleka mbele. Wale wanaomsifia Bi. Mamuya kwamba ni mchumi na msomi kwa kweli hawamfahamu huyu mama. Sitaki kuingilia personal lakini kwa kifupi ni kwamba jumuiya yetu isitumiwe kama stepping stone. Nimefurahi sana kupiga kura na nina matumaini makubwa kwa jumuiya yetu mpya.

- Well, tunaheshimu matokeo hope atajipanga vyema next time, Demokrasia imechukua mkondo na saafi sana!

Willie!
 
- I know nimebebwa bebwa kuishi baharini miaka 6, nimebebwa bebwa kwenda kazini New york Saa nane za usiku kila siku na kufanya kazi masaa 15 kila siku nilikuwa ninabebwa bebwa tu huko, saafi sana!

- Let me say una hoja kwamba tuachie mambo yetu, then it is time to close JF maana hayatuhusu tuwaachie wanasiasa, hivi kabla ya ku-post hapa huwa mnapitia kuangalia unayosema au? ha! ha! ha! ha!

By the way mchagueni Loveness Mamuya, if you know what I mean!

William

Na utabebwa sana tu.... a citizen of FISADISTAN!!!

Haya tupe matokeo ya uchaguzi mkuu
 
Jamani, uchaguzi umeshamalizika na Idd Saddaly amepata kura za kishindo, zaidi ya 50%. Wana D.C. tunaserebuka ingawa ubalozi wetu umesikitika Loveness Mamuya hakupata ushindi. Wamejaribu kufanya njama achukuliwe angalau kama naibu katibu mkuu, ili awemo awemo kwenye nafasi ya uongozi wa jumuiya mpya lakini imeshindikana. Mimi huwa sipendi personal attacks lakini nilivyosikia ni kwamba huyu mama alikuwa anataka kujenga CV yake ili hatimaye achukuliwe kama mbunge wa viti maalumu chini ya CCM. Jumuiya yetu ni mpya, itakuwa na matatizo mengi na tunahitaji mtu ambaye atakuwa dedicated kwa jumuiya na si kuitumia kama jukwaa la kujipeleka mbele. Wale wanaomsifia Bi. Mamuya kwamba ni mchumi na msomi kwa kweli hawamfahamu huyu mama. Sitaki kuingilia personal lakini kwa kifupi ni kwamba jumuiya yetu isitumiwe kama stepping stone. Nimefurahi sana kupiga kura na nina matumaini makubwa kwa jumuiya yetu mpya.

Mkuu wangu lini tunavunja mvinyo wa sherehe??
 

Endorsed by Mzee Mwanakijiji.
Ila namkubali hapa alipomu -endorse Mamuya, kwani unlike watu waliomu-endorse yeye, ametoa sababu!
DC!!! vote for Idd!!
Sauti yako imesikika na haya hapa ndio matokeo ya uchaguzi wa dc, huyu mwehu Malecela hoi.

[h=6]Omby Nyongole
[/h][h=6]WE DESERVE BETTER~ IDDY SANDALY WON AS A NEW PRESIDENT OF DMV TANZANIA COMMUNITY AND AMOS CHEREHANI AS HIS SECRETARY. GOD BLESS DMV...LETS MAKE CHANGES...:)))))[/h]
 
Sauti yako imesikika na haya hapa ndio matokeo ya uchaguzi wa dc, huyu mwehu Malecela hoi.

Omby Nyongole


WE DESERVE BETTER~ IDDY SANDALY WON AS A NEW PRESIDENT OF DMV TANZANIA COMMUNITY AND AMOS CHEREHANI AS HIS SECRETARY. GOD BLESS DMV...LETS MAKE CHANGES...:)))))
Naanza kuhisi harufu ya mtu kuukosa ubunge wa EA hapa. Dalili ya mvua ni mawingu, alitaka kupandikiza gamba wazee wa DC wameshtuka na kulitupilia mbali. Hizi ni nyakati za kila mtu kutumia utashi wake kuchagua na sio nyakati za kuambiwa umchague nani, ebooooo.
 
Jamani, uchaguzi umeshamalizika na Idd Saddaly amepata kura za kishindo, zaidi ya 50%. Wana D.C. tunaserebuka ingawa ubalozi wetu umesikitika Loveness Mamuya hakupata ushindi. Wamejaribu kufanya njama achukuliwe angalau kama naibu katibu mkuu, ili awemo awemo kwenye nafasi ya uongozi wa jumuiya mpya lakini imeshindikana. Mimi huwa sipendi personal attacks lakini nilivyosikia ni kwamba huyu mama alikuwa anataka kujenga CV yake ili hatimaye achukuliwe kama mbunge wa viti maalumu chini ya CCM. Jumuiya yetu ni mpya, itakuwa na matatizo mengi na tunahitaji mtu ambaye atakuwa dedicated kwa jumuiya na si kuitumia kama jukwaa la kujipeleka mbele. Wale wanaomsifia Bi. Mamuya kwamba ni mchumi na msomi kwa kweli hawamfahamu huyu mama. Sitaki kuingilia personal lakini kwa kifupi ni kwamba jumuiya yetu isitumiwe kama stepping stone. Nimefurahi sana kupiga kura na nina matumaini makubwa kwa jumuiya yetu mpya.

Hongera sana Iddi kupata wadhifa huo, pasi na shaka wana Silver spring walikuamini sana na wewe usiwa angushe. Hongera sana.

Tunaomba mtupe nani wateule wengine kama katibu, mwekahazina na wengine ili tuweze kuwafahamu na kwa faida ya wote. Lakin vile vile tutatenda haki kama tutapata majina ya wagombea wote na kura walizobahatika na kujaaliwa kupata katika uchaguzi huo.

Nitakupongeza Mwisho wa mwezi huu insh'Allah nikija hapo Richmond.

 
Kama unamfahamu vema ungeongeza sifa na vigezo unavyodhani vinaweza kutoa ushawishi wa kumchagua.

Umempigia debe kama vile humjui vema. Dunia ya sasa ushindani upo kila mahala vigezo vya vyongeza vina faida zaidi kuliko kutoa sifa ya mtu kijumla jumla.

Kama ungepewa hadhara kubwa kama hii kwa ajili ya kukampeni kumbuka JF kuna wasomi zaidi ya unayempigia debe tumia ushawishi wa nguvu si nguvu ya ushawishi.
 
- I know nimebebwa bebwa kuishi baharini miaka 6, nimebebwa bebwa kwenda kazini New york Saa nane za usiku kila siku na kufanya kazi masaa 15 kila siku nilikuwa ninabebwa bebwa tu huko, saafi sana!

- Let me say una hoja kwamba tuachie mambo yetu, then it is time to close JF maana hayatuhusu tuwaachie wanasiasa, hivi kabla ya ku-post hapa huwa mnapitia kuangalia unayosema au? ha! ha! ha! ha!

By the way mchagueni Loveness Mamuya, if you know what I mean!

William

Kaka wa NY.
Pole na kinyang'anyiro huko Idodomya.
Pamoja na kwamba mgombea chagua lako kapigwa chini, nilikuwa najaribu kupata uelewa Mkazi wa NY kumpigia chapuo mkazi wa DMV. Anadai ana eksipiriensi ya menejimenti kwa kuwaongoza wabibi wanaowalea/waangalia kunywa dawa on time...teh..teh..teh Wow..good kualifikesheni. Inaonekana unafahamu sana umakini wake au ndo mambo ya ndugu katika maji ya Kijani........just curious.
 
- Pamoja na kwamba nipo kwenye Marathon za Ubunge wa EAC huku Dodoma, nimekuwa ninaufuatilia sana uchaguzi wa Jumuiya ya Wa-Tanzania DC Washington, lakini baada ya kufuatilia sana uwezo wa wagombea, ninasema kwamba;

Ninawaomba wananchi huko DC kumchagua Sister Loveness Mamuya, anaonekana kuwa na uwezo mkubwa sana kuliko wengine wote wanaogombea, hasa kutokana na maendeleo yake binafsi aliyoyapata huko toka afike huko DC, ni mpenda watu amewasidia wananchi wengi huko, halafu ni msomi pia na anajua sana mambo ya uchumi ndio maana ameweza kujiletea maendeleo makubwa binafsi, sasa mpeni nafasi aendeleze na kwa wengine, maana charity starts at home.

- Again, MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA WATANZANIA WOTE HUKO DC; MCHAGUENI LOVENESS MAMUYA!


William @Dodoma City!

Loveness ana usomi gani?? Come on William... Certificate ya HHA nao ni usomi .....kwenye interview yake hajataja elimu zaidi ya sekondari. Sikiliza kwa makini hiyo interview ndipo ujiridhishe kama kweli ni msomi. Hata hivyo hii mada inaweza kuwa irrelevant kwani tayari alishapigwa chini but tunatakiwa kuweka rekodi streiti.

[video=vimeo;40188730]http://vimeo.com/40188730[/video]
 
Jamani, uchaguzi umeshamalizika na Idd Saddaly amepata kura za kishindo, zaidi ya 50%. Wana D.C. tunaserebuka ingawa ubalozi wetu umesikitika Loveness Mamuya hakupata ushindi. Wamejaribu kufanya njama achukuliwe angalau kama naibu katibu mkuu, ili awemo awemo kwenye nafasi ya uongozi wa jumuiya mpya lakini imeshindikana. Mimi huwa sipendi personal attacks lakini nilivyosikia ni kwamba huyu mama alikuwa anataka kujenga CV yake ili hatimaye achukuliwe kama mbunge wa viti maalumu chini ya CCM. Jumuiya yetu ni mpya, itakuwa na matatizo mengi na tunahitaji mtu ambaye atakuwa dedicated kwa jumuiya na si kuitumia kama jukwaa la kujipeleka mbele. Wale wanaomsifia Bi. Mamuya kwamba ni mchumi na msomi kwa kweli hawamfahamu huyu mama. Sitaki kuingilia personal lakini kwa kifupi ni kwamba jumuiya yetu isitumiwe kama stepping stone. Nimefurahi sana kupiga kura na nina matumaini makubwa kwa jumuiya yetu mpya.

Hongera Idd kwa ushindi. Bado nakuwa najiuliza, hivi kweli kuna watu katika sayari ya leo bado wanafikiria ubunge wa viti maalumu, really!! Huyu dada anadai ndo kaanzisha agency yake yenye wafanyakazi 3, kwa nini hasitumie muda mwingi kujenga kampuni yake badala ya kuhangaika na misaada ya WAMA? Yeah kweli naona anajisogeza, alijazwa pumba na yule dada Magige wa Arusha, basi akaona Jumuiya ya Kibongo ndo itakuwa pitio. POLE imekula kwake.
 
Kama nilivyokueleza William jana kwamba bado humjui vizuri mpinzani wa Loveness Mamuya. Sasa kilichotokea ni Mamuya kuangushwa vibaya sana kwa kura kama ifuatavyo MWENYEKITI NI IDDI SANDALI KWA KURA 205
Loveness mwamuya kura 119.
 
Back
Top Bottom