Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
- Pamoja na kwamba nipo kwenye Marathon za Ubunge wa EAC huku Dodoma, nimekuwa ninaufuatilia sana uchaguzi wa Jumuiya ya Wa-Tanzania DC Washington, lakini baada ya kufuatilia sana uwezo wa wagombea, ninasema kwamba;
Ninawaomba wananchi huko DC kumchagua Sister Loveness Mamuya, anaonekana kuwa na uwezo mkubwa sana kuliko wengine wote wanaogombea, hasa kutokana na maendeleo yake binafsi aliyoyapata huko toka afike huko DC, ni mpenda watu amewasidia wananchi wengi huko, halafu ni msomi pia na anajua sana mambo ya uchumi ndio maana ameweza kujiletea maendeleo makubwa binafsi, sasa mpeni nafasi aendeleze na kwa wengine, maana charity starts at home.
- Again, MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA WATANZANIA WOTE HUKO DC; MCHAGUENI LOVENESS MAMUYA!
William @Dodoma City!
- Anagombea kuwa kiongozi wa Jumuiya ya Wa-Tanzania DC Washington, hope umenielewa!
William.
- Anagombea kuwa kiongozi wa Jumuiya ya Wa-Tanzania DC Washington, hope umenielewa!
William.
Huyu bwana amekuwa kiboko cha CDM kila mara mwatamka jina lake, waachie wana mtera waomgozwe na mbunge ambae ni chaguo lao. Nyie aliwakomesha sana Arumeru kwa maneno mazito
William,- Pamoja na kwamba nipo kwenye Marathon za Ubunge wa EAC huku Dodoma, nimekuwa ninaufuatilia sana uchaguzi wa Jumuiya ya Wa-Tanzania DC Washington, lakini baada ya kufuatilia sana uwezo wa wagombea, ninasema kwamba;
Ninawaomba wananchi huko DC kumchagua Sister Loveness Mamuya, anaonekana kuwa na uwezo mkubwa sana kuliko wengine wote wanaogombea, hasa kutokana na maendeleo yake binafsi aliyoyapata huko toka afike huko DC, ni mpenda watu amewasidia wananchi wengi huko, halafu ni msomi pia na anajua sana mambo ya uchumi ndio maana ameweza kujiletea maendeleo makubwa binafsi, sasa mpeni nafasi aendeleze na kwa wengine, maana charity starts at home.
- Again, MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA WATANZANIA WOTE HUKO DC; MCHAGUENI LOVENESS MAMUYA!
William @Dodoma City!
Sema vizuri rafiki. Ile ni Jumuiya ya WanaCCM waishio Washington! Kwa msingi huo hastahili kupigiwa kampeni hapa JF.
- Pamoja na kwamba nipo kwenye Marathon za Ubunge wa EAC huku Dodoma, nimekuwa ninaufuatilia sana uchaguzi wa Jumuiya ya Wa-Tanzania DC Washington, lakini baada ya kufuatilia sana uwezo wa wagombea, ninasema kwamba;
Ninawaomba wananchi huko DC kumchagua Sister Loveness Mamuya, anaonekana kuwa na uwezo mkubwa sana kuliko wengine wote wanaogombea, hasa kutokana na maendeleo yake binafsi aliyoyapata huko toka afike huko DC, ni mpenda watu amewasidia wananchi wengi huko, halafu ni msomi pia na anajua sana mambo ya uchumi ndio maana ameweza kujiletea maendeleo makubwa binafsi, sasa mpeni nafasi aendeleze na kwa wengine, maana charity starts at home.
- Again, MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA WATANZANIA WOTE HUKO DC; MCHAGUENI LOVENESS MAMUYA!
William @Dodoma City!
William,
Asante kunitoa msituni. Napiga kura leo, naishi ujirani na Washington D.C. Lakini hatutaki kuchaguliwa watu wanaojulikana kuwa na uhusiano wa karibu na CCM. Hii si jumuiya ya wana CCM. Ni jumuiya ya Watanzania wote. Simpigii kura Mamuya!
contradiction na double standards. mbona malecela ni ccm lakini anakampeniwa humu?
Atainua uchumi wa marekani! Naona umeangalia maendeleo yake binafsi, what if amerithishwa au ana uhusiano na Balali? Mkuu kukufunda kote huku bado unachemka tu! CCM kweli matope kumfikisha huyu jamaa hapo alipo kweli CCM ni jumba la Sanaa!!
Endorsed by Mzee Mwanakijiji.Kookolikoo,
Hakuna anaempigia kampeni William Malecela hapa JF. Ni yeye mwenyewe anajikombakomba tu jamvini na anatumia baadhi ya wanamagamba kumpigia support hapa. Kwa kifupi yeye tayari ni loser kwenye huu uchaguazi wa EAC. Kitakachomuokoa ni jina la Baba!
Jaribuni kumwelewa Willy, ukweli ameeleza kuwa habebwi! Huwezi kumlinganisha na akina Ridhiwani au Fredy Lowassa ambao wao na baba zao ni kama samaki na maji, bila Lowasaa, Fredy ni kama umeibua samaki ukaiweka kwenye mavumbi.