Matata255
Member
- Aug 1, 2012
- 78
- 9
8+16=24 ,wadau tupo page ya 24 bingwa hajapatikana bado
bado kwani 24 ndo mwsho wa kuhesabu.?
8+16=24 ,wadau tupo page ya 24 bingwa hajapatikana bado
sensa wajehidina hatuesabiwi
mawazo ndo kitu kinachompa binadamu changamoto
Siku magwanda wakichukua nchi nitaongeza mke wa pili
hapa hakuna kufuata mtiririko maana muanzisha uzi hajatoa facts za kumdisqualify memba from ze game,hajasema itaisha mwaka gani?au atatambuaje mshndi so nadhani wadau wanatumia ule msemo,if u cant make them undestand ,confuse them.na wanachofanya sasa ni kwamba kila m2 anamchanganya mwenzake ili awe wa mwisho
Mwisho wa lami, yombo buza mpaka tandika magorofani, kipitia kwa gude.
Kwa gude ndiyo wapi? au ndiyo pale pale Kilakala relini?