Hahhahaah asa wewe kama huyo baba utafanyaje
mi naona kumchukua mtoto ake ndo uanaume
maza house angejaribu kua na huruma tu, mambo mengine yakishatokea haijitaji hasira maana haisaidiii
Na wewe leo wakwako si uone huyo mama mjengo analea wa kwake japo mume wenu hana kazi 🤣🤣🤣. Unavuna unacho panda... 😂😂😜😜😜😜😜😜Kuna baba nilikua nae, ni mume wa mtu, alikia ananihudumia kwa kila kitu, Mwaka jana aliniambia nimzalie, mimi nikamwambia kama unataka mtoto na mimi basi aninunulie kiwanja na kunijengea. Kweli alifanya hivyo ila wakati nakaribia alisimamishwa kazi mambo yakawa magumu kwani alikua na kesi.
Alitoka lakini alikua hana pesa tena kama mwanzo, ujenzi nyumba ilisimama kwenye lenta, akakata mawasiliano na mimi nimehangaika mpaka kumpeleka ustawi wa jamii.
Kule akasema yeye hawezi nihudumia kwa kuwa hana kazi, kweli alionyesha barua ya kufukuzwa kazi. Lakini anamaisha mazuri mke wake ana Biashara nyingi tu, ana maduka na ni mfanyakazi wa kampuni moja kubwa tu.
Watoto wake wanaishi vizuri tu ila wakwangu ana miezi mitatu ila hajawai mnunulia hata pampasi. Nawaza hivi naweza kumpeleka mke wake ustawi wa jamii ili amhudumie mtoto wa mume wake. Nilishampigia huyo mama ili kumuomba matumizi lakini aliishia kunitukana, nafanyaje kwani hata biashara ni mwanaume wetu ndo alimfungulia.
copied but ni real life story
Uza Boma, pesa utakayopata anzisha biashara umlee mtoto wenu.Kuna baba nilikua nae, ni mume wa mtu, alikia ananihudumia kwa kila kitu, Mwaka jana aliniambia nimzalie, mimi nikamwambia kama unataka mtoto na mimi basi aninunulie kiwanja na kunijengea. Kweli alifanya hivyo ila wakati nakaribia alisimamishwa kazi mambo yakawa magumu kwani alikua na kesi.
Alitoka lakini alikua hana pesa tena kama mwanzo, ujenzi nyumba ilisimama kwenye lenta, akakata mawasiliano na mimi nimehangaika mpaka kumpeleka ustawi wa jamii.
Kule akasema yeye hawezi nihudumia kwa kuwa hana kazi, kweli alionyesha barua ya kufukuzwa kazi. Lakini anamaisha mazuri mke wake ana Biashara nyingi tu, ana maduka na ni mfanyakazi wa kampuni moja kubwa tu.
Watoto wake wanaishi vizuri tu ila wakwangu ana miezi mitatu ila hajawai mnunulia hata pampasi. Nawaza hivi naweza kumpeleka mke wake ustawi wa jamii ili amhudumie mtoto wa mume wake. Nilishampigia huyo mama ili kumuomba matumizi lakini aliishia kunitukana, nafanyaje kwani hata biashara ni mwanaume wetu ndo alimfungulia.
copied but ni real life story
ww ungemhurumia?Sawa amekosea ila atleast huyu mama angekua na huruma japo kidogo japo ina boa ina kera
Ina tegemea na situation aliopo huyo dadaww ungemhurumia?
mtu aliye washusha fasta kutoka uchumi wa juu hadi kufika kati?
yes, its a boss ideaUza Boma, pesa utakayopata anzisha biashara umlee mtoto wenu.
Acha kulialia.
😅😅😅 kashindwa hata ka wewe watoto wa nyumba wa na roll ungejisikiajeNa wewe leo wakwako si uone huyo mama mjengo analea wa kwake japo mume wenu hana kazi 🤣🤣🤣. Unavuna unacho panda... 😂😂😜😜😜😜😜😜
Haahaahaha maisha ni kupanda na kushuka naona dada yupo kwenye kushukaWakati unataka ujengewe ulikua unaishi wapi
ana doc ?Uza hiyo nyumba ukishapata hela njoo tumlelee huyo mtoto.
Hapo majanga asee. Apambanie kombe lake. Karma is a bitch.ana doc ?