Wa mama mijengo sometimes muwe na huruma

Wa mama mijengo sometimes muwe na huruma

Mamaaee...

Wewe kenge utakufa njaa,,, yaani kabisa unategemea hela kwa mtu uliyemuibia mme.!???

Una ufalla mwingi sana
 
Huyo mwanamke ndio yule malaika wa uharibifu bila shaka.
Keshatia mikosi kwenye uchumi wa mume sasa anataka kuharibu na wa mkewe tena?
Single mother mwingine huyo.
 
kanstari ka mwisho kamepoteza hints zote za kukushauri.


coz hamna mwanamke ataeelewana na mchepko wa mumewe hata.

unaingiliaje ndoa hadi kuzaa we ndo nuksi hadi kapoteza kibarua si ajabu hiko kibarua kimetokana na mke wa ndoa.

beba adhabu yako.
 
Huyo hajitambui atakuwa anatumiwa mmea yaani umdai asiyehusika
Hahhahaah asa wewe kama huyo baba utafanyaje

mi naona kumchukua mtoto ake ndo uanaume
maza house angejaribu kua na huruma tu, mambo mengine yakishatokea haijitaji hasira maana haisaidiii
 
kanstari ka mwisho kamepoteza hints zote za kukushauri.


coz hamna mwanamke ataeelewana na mchepko wa mumewe hata.

unaingiliaje ndoa hadi kuzaa we ndo nuksi hadi kapoteza kibarua si ajabu hiko kibarua kimetokana na mke wa ndoa.

beba adhabu yako.
Sawa amekosea ila atleast huyu mama angekua na huruma japo kidogo japo ina boa ina kera
 
Hahhahaah asa wewe kama huyo baba utafanyaje

mi naona kumchukua mtoto ake ndo uanaume
maza house angejaribu kua na huruma tu, mambo mengine yakishatokea haijitaji hasira maana haisaidiii
Huyo dada kama anamuona huyo mtoto ni mzigo kwake na aliyemzalisha hampi matumizi basi akamkabizi kwa mwenye mtoto amuhudumie kuliko kuongea na mke wake
 
Back
Top Bottom