Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,534
- 32,757
akili yako na unaye msifia vina fanana-totauti yeye alitumia ujuha wa Watanzania kuwa raisi
Mi ntamiss mizaha kwenye wizi wa mali za umma - kama EPA, RICHMOND, TWIGA KUPAKIWA KWENYE NDEGE na ESCROW. Yote hayo yametokea na bado muda wa kufikiria na kujirekebisha unaendelea hadi leo.
Sidhani kama tutapata raisi mzuri kama Kikwete ambaye always anatabasamu. Ametuachia nchi yetu amani
akili yako na unaye msifia vina fanana-totauti yeye alitumia ujuha wa Watanzania kuwa raisi
Khaa!! Mie kwa miaka yote 10 nitamkumbuka kwajambo moja kubwa na lenye maana sana kwa ustawi wa nchi yetu. KUMKATA YULE JAMAA akiwa na pesa zake na vibaraka wake..