Ametupotezea muda miakA 10.
Ni mwana diplomasia wa hali ya juu, pia haujakosea, ni mvumilivu na aliyepaisha upinzani na uhuru wetu wa kujielezea mawazo yetu binafsi.Leo nilidhani Ukawa wangeenda kumuaga JK kwa namna alivyo wapandisha thamani, kakuza demokrasia saana, uhuru wa kuongea, kafanya mazungumzo nao mno na kuvumilia ( Subra).
Leo hawataki muaga mtu aliye upa upinzani fursa ya kukua, basi kama haitoshi walimtukana 10 yrs. Na hakujibu kitu huyu ni zaidi ya rais kwani hata hawa manabii wa sasa huwa na mihemko na kuwatusi watu.
Tanzania inamuaga JK kama shujaa wa Africa, huyu hakua rais wa nchi tu bali ni msimamia Amani wa Africa nzima.
Natamani siku nipate muda wa kuongea nae inshallah nitamwambia mambo mengi ambayo yy alifanya kama wajibu ila yameleta heri nyingi.
Sasa #HapaKaziTu#
Hata hii JF waliyotumia kumtukania ni yeye aliiachia ikue na kujiimarisha. Historia itakukumbuka Mr. President.Leo nilidhani Ukawa wangeenda kumuaga JK kwa namna alivyo wapandisha thamani, kakuza demokrasia saana, uhuru wa kuongea, kafanya mazungumzo nao mno na kuvumilia ( Subra).
Leo hawataki muaga mtu aliye upa upinzani fursa ya kukua, basi kama haitoshi walimtukana 10 yrs. Na hakujibu kitu huyu ni zaidi ya rais kwani hata hawa manabii wa sasa huwa na mihemko na kuwatusi watu.
Tanzania inamuaga JK kama shujaa wa Africa, huyu hakua rais wa nchi tu bali ni msimamia Amani wa Africa nzima.
Natamani siku nipate muda wa kuongea nae inshallah nitamwambia mambo mengi ambayo yy alifanya kama wajibu ila yameleta heri nyingi.
Sasa #HapaKaziTu#
Tabasamu katika picha zake
Tabasamu ndio kumbukumbu kwako dah Hakika wengi wetu vichwa maji